Heshima kwenu waungwana wa JF.
Naomba kufahamishwa hatua za kufuata ili kupata mkopo benki kwa kutumia nyumba kama dhamana. Kwa sasa sina hata hati ya nyumba yenyewe. Nyumba iko katika jiji mojawapo zilizoko hapa nchini kwetu. Wataalamu na wasio wataalamu ila wenye uzoefu na maswala haya msaada wenu ni wa muhimu.
Wenu katika ujenzi wa Taifa.
Naomba kufahamishwa hatua za kufuata ili kupata mkopo benki kwa kutumia nyumba kama dhamana. Kwa sasa sina hata hati ya nyumba yenyewe. Nyumba iko katika jiji mojawapo zilizoko hapa nchini kwetu. Wataalamu na wasio wataalamu ila wenye uzoefu na maswala haya msaada wenu ni wa muhimu.
Wenu katika ujenzi wa Taifa.