Hatma ya Operation +255: Mbowe tupe maelekezo

Hossam

JF-Expert Member
Feb 10, 2011
3,538
2,155
Salaam.

Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni nini uelekeo mpya? Mtaendelea na operation mnayojua haiwezi kuwa?

Mwisho, ita press tupe mwongozo. Ukikaa kimya kamanda unatuangusha sana.

Pangu Pakavu,

Bunda.

Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
 
Salaam.

Mods, hili ni swali tu kwa Mhe Mbowe, mkitaka lifuteni hamna shida.

Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni nini uelekeo mpya? Mtaendelea na operation mnayojua haiwezi kuwa?

Mwisho, ita press tupe mwongozo. Ukikaa kimya kamanda unatuangusha sana.

Pangu Pakavu,

Bunda.

Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Hiyo hoja yako ilijibiwa na Tundu Lissu alipohojiwa na waandishi baada ya kuachiwa kwa dhamana kule Arusha alisema wataendelea na mikutano yao kama kawaida.
 
Salaam.

Mods, hili ni swali tu kwa Mhe Mbowe, mkitaka lifuteni hamna shida.

Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni nini uelekeo mpya? Mtaendelea na operation mnayojua haiwezi kuwa?

Mwisho, ita press tupe mwongozo. Ukikaa kimya kamanda unatuangusha sana.

Pangu Pakavu,

Bunda.

Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Chochea magogo, nyasi, majani tia mafuta taa na petrol=moto mkali
 
Salaam.

Mods, hili ni swali tu kwa Mhe Mbowe, mkitaka lifuteni hamna shida.

Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni nini uelekeo mpya? Mtaendelea na operation mnayojua haiwezi kuwa?

Mwisho, ita press tupe mwongozo. Ukikaa kimya kamanda unatuangusha sana.

Pangu Pakavu,

Bunda.

Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Next week Kanda ya Kaskazini....Tega sikio na Macho

Tunapanda wote Tunashuka wote!!!!!
 
Back
Top Bottom