Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,538
- 2,155
Salaam.
Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni nini uelekeo mpya? Mtaendelea na operation mnayojua haiwezi kuwa?
Mwisho, ita press tupe mwongozo. Ukikaa kimya kamanda unatuangusha sana.
Pangu Pakavu,
Bunda.
Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Mhe Mbowe, sina shaka umesikia kauli ya mkuu wa Kaya kuhusu Katiba mpya na kwa tafsiri nyingine hata Mchakato wa IGA. Nakuuliza, kwakuwa yote hayo, kama core matters, za operation hii, ni nini uelekeo mpya? Mtaendelea na operation mnayojua haiwezi kuwa?
Mwisho, ita press tupe mwongozo. Ukikaa kimya kamanda unatuangusha sana.
Pangu Pakavu,
Bunda.
Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app