mpe pole kwa niaba yetu, kwa kweli inasikitisha na hii nikutokana viongozi wetu kuona kwamba wao wana stahili zaidi ya wengineimeniuma sana kwa uzembe wa serikali kutowasikiza madaktari imegarimu
maisha ya binti wa mfanyakazi mwenzetu na ndie alikuwa kipenzi chake
amefariki leo asubuhi kwa kukosa matibabu
mama wa watu kazirai hata alipoamka haongei na mtu.