Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
hatimaye serikali imeridhia kuwarudisha madaktari wanaopata uzoefu kazini(medical interns) ambao walifukuzwa kutoka hospitali ya taifa muhimbili hivi karibuni.haya yamesemwa na ujumbe wa waziri mkuu uliofika kukutana na madaktari waliopo kwenye kikao cha muda mrefu.ujumbe huu unaongozwa na waziri wa afya,katibu mkuu na mganga mkuu kiongozi.
my take
kilichoshindikana wiki mbili zilizopita kimewezekana leo lakini kwa gharama za maisha ya watu.huu ni uzembe wa waziwazi kwa viongozi wa wizara husika.kwa vyovyote vile ni lazima wawajibike kama wanavyotaka madaktari.
my take
kilichoshindikana wiki mbili zilizopita kimewezekana leo lakini kwa gharama za maisha ya watu.huu ni uzembe wa waziwazi kwa viongozi wa wizara husika.kwa vyovyote vile ni lazima wawajibike kama wanavyotaka madaktari.