Hatimaye Roma Mkatoliki afunga ndoa

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,416
Roma Mkatoliki,msanii maarufu wa hiphop Tanzania hatimaye ameamua kufunga ndoa rasmi na mpenzi wake wa longtime ambaye wana mtoto pamoja (Ivan) April 9 2016. Ndoa hio imefungwa nyumbani Tanga na ni baada ya send-off kufanyika Dar es salaam February 2016.

Ndoa yao imefungwa Jumamosi hii na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali akiwemo Kala Jeremiah aliyekuwa best man. Wawili hao wana mtoto wa kiume, Ivan.

12501581_597248063764126_1221953107_n.jpg

12501581_597248063764126_1221953107_n.jpg



11373967_1685798288336814_1041099973_n.jpg

12912267_547928615378984_184766439_n.jpg

12917824_1056977704340480_1925755735_n.jpg

12918442_624754364344276_1397347654_n.jpg


All the best Roma
 
Wamebariki ndoa#

Ndoa waliifunga the moment walivyofanya tendo la ndoa na kupata mtoto.

By the way, hongera kwao kwa kuhalalisha rasmi tendo hilo.
 
Wamebariki ndoa#

Ndoa waliifunga the moment walivyofanya tendo la ndoa na kupata mtoto.

By the way, hongera kwao kwa kuhalalisha rasmi tendo hilo.
Alikuwa na uwezo wa kufunga na mwanamke yeyote yule, sio lazima huyo aliyezaa nae. kuishi na mwanamke mmoja ndani na kuwa nao 6 mtaani yote ni sawa (Uzinzi). Naamanisha amefunga ndoa (ameweka agano)
 
"nakumbuka zile hustle za mbeya mpaka nyamongo/, nilitupa harakati nikazama mbulahani..... nancy mtoto wa kigogo " by roma ft chilambo,
 
Back
Top Bottom