Larisa TV zote zinapokuwa kwenye test huwa zinaweka miziki mara nyingi, rejea Tabibu TV, wrn TV nkTv yenyewe ni miziki tu bandua bandika
Daaaaah kweli na mm jana ilinisogeza sana ...ngoma kalikaliyeec my ni full burudani hapa najiliwaza after job
Kwelii kabisaa..Jamaa wana picha clear sana... Wameanza poa sana, image full HD, good start.. Visual quality ipo poa kuliko hata clouds tv, tena kwambali sana
Kwani Star Tv na TBC si zinawatosha?! Acheni habari zenu bhana; nyanya Kariakoo zishapanda bei kwa hayo mambo yenu kupenda kuangalia TV za mjini badala ya tv zinazohamasisha kilimo bora! Tunawategemea mjue; ohoo!
Dah uwe na huruma kidogoKwani Star Tv na TBC si zinawatosha?! Acheni habari zenu bhana; nyanya Kariakoo zishapanda bei kwa hayo mambo yenu kupenda kuangalia TV za mjini badala ya tv zinazohamasisha kilimo bora! Tunawategemea mjue; ohoo!
Wakuu Huku Butimba kwenye Dikoda ya AZAMU mbona hatukaoni hako kachaneli!!!
HA HA HAndugu acheni hizo, nendeni mkalime na kuvua samaki. huku mazao yamepanda bei ninyi mnakaa kuangalia singeli kwenye tv acheni mambo hayo. tbc si ipo? star tv is ipo? hizo zinzwatosha sana huko mikoani. limeni tusipungukiwe chakula sisi wa mjini na mkija huku muwe mnakuja na vitu mikononi siyo mnakuja na korodani zenu tu.
Bhebhe nang'o punguza ukali wa maneno mkuu wangu!!!ndugu acheni hizo, nendeni mkalime na kuvua samaki. huku mazao yamepanda bei ninyi mnakaa kuangalia singeli kwenye tv acheni mambo hayo. tbc si ipo? star tv is ipo? hizo zinzwatosha sana huko mikoani. limeni tusipungukiwe chakula sisi wa mjini na mkija huku muwe mnakuja na vitu mikononi siyo mnakuja na korodani zenu tu.
Bhebhe nang'o punguza ukali wa maneno mkuu wangu!!!
Kwa hiyo kama bilioni 1 kwako ndio nyingi, unadhani ndio kwa kila mtu!?License ya kurusha matangazo ya TV ni Billion 1 hapo tcra. Efm bado Sana upande wa TV
Ni kichaa pekee yake anayeweza kuamini efm hii ya juzi iko financially stable kuizid clouds, na ni kichaa pekee yake anayeamini Dj majizo anaweza kua na mpunga kuzid kusaga.Kwa hiyo kama bilioni 1 kwako ndio nyingi, unadhani ndio kwa kila mtu!?