Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa mkuu, we gonga like endelea kusoma post zingine
mh sio penyewe hapa
mh sio penyewe hapa
Sasa goli 5 kwa mpigo si unaweza kupalalaizi...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu, ukiitumia inakaa mwilini kwa muda gani? au kila mara ukitaka kuingia kazini lazima ulambe tena na tena?
Kuliwa Elfu hamsini nyingi, je nikinunua kuna sehemu umeandaa ya kutestia?
goli tano nahama? kesho sipigi tena kwani? haaaa????????
Nguvu za kiume nani kakuambia ni Ugonjwa.
Mazoezi,kula vizuri habari kwisha.
Wenzio zinahamia nyuma hizo badala ya kwenda mbele
Sasa goli 5 kwa mpigo si unaweza kupalalaizi...
Sent from my iPhone using JamiiForums
tatizo madogo wa siku hizi puri sana.
Nasikitika kwa vile sina pesa ya kuchezea!!
Inategemea tatizo lilikuwa limekufika kiwango gani lakini unaweza kukaa miezi hata mwaka isitoshe huu ni mti tu hauna kemikali yeyote ukitaka kujiimarisha zaidi unaruhusiwa kurudia dozi ni wewe tu utakavyokuwa unajiona. Hii unakunywa kutwa mara 3 kwa siku 10 na siyo unapoenda mzigoni
Me nataka dawa ya kukata hiki kitambi jamani