Nitafurahi sana Nape akiangukia pua huko Mtama.
WanaMtama tupeni raha wenzenu tafadhali!
yaani kila siku lazima nikufuatilie comments zako unanipa raha aisee..wishnikuonee
Nitafurahi sana Nape akiangukia pua huko Mtama.
WanaMtama tupeni raha wenzenu tafadhali!
Abdallah Bulembo nionavyo atalamba dume kwa mazuri anayoyafanya na ICC itamuhukumu kwa mabaya yake.Kubali ukatae...anakwenda Ulaya na sijui kama ataweza ongea nao kama vile wa Kenya.
That guy who competing with Nape is also known as MessiHali inazidi kuwa mbaya kwa katibu wa itkadi na uenezi wa CCM anayegombea jimbo la Mtama. Hàli ya kukataliwa na mahudhurio hafifu ya mikutano yake na kuzomewa imemkosesha matumaini ya kuchukua jimbo.
Aliombwa na Magufuli kuambatana naye ziara ya DSM akamchomolea angalau abaki kuokoa hali aliyonayo kuficha aibu. Mtama wanasema hawawezi kuletewa mbunge wa kuchaguliwa na mtu mfukoni.
Mgombea wa upinzani anazidi kumtesa Nape kwa kupata mafuriko ya kufa mtu na mapokezi ya balaa. Aibu inamkuta Nape Jumapili na hakuna namna ya kuokoa jahazi tena.
Dua la kuku halimpati mwewe! Mtama ni CCM damu damu! #HapakazituNitafurahi sana Nape akiangukia pua huko Mtama.
WanaMtama tupeni raha wenzenu tafadhali!
mamaaaaaaaa
Dua la kuku halimpati mwewe! Mtama ni CCM damu damu! #Hapakazitu
Tarehe 25/10/2015 ndiyo tunapata na Bonus! #Hapakazitu. Tunachinja Jamaa katikati ya bahari ya Hindi, hata GPS haiwezi kusoma sehemu hiyo!#HapoKazi tu ila jua mshahara hakuna!!
Hali inazidi kuwa mbaya kwa katibu wa itkadi na uenezi wa CCM anayegombea jimbo la Mtama. Hàli ya kukataliwa na mahudhurio hafifu ya mikutano yake na kuzomewa imemkosesha matumaini ya kuchukua jimbo.
Aliombwa na Magufuli kuambatana naye ziara ya DSM akamchomolea angalau abaki kuokoa hali aliyonayo kuficha aibu. Mtama wanasema hawawezi kuletewa mbunge wa kuchaguliwa na mtu mfukoni.
Mgombea wa upinzani anazidi kumtesa Nape kwa kupata mafuriko ya kufa mtu na mapokezi ya balaa. Aibu inamkuta Nape Jumapili na hakuna namna ya kuokoa jahazi tena.
Dua la kuku hiloo...NAPE ndio mtaji wetu na daima anasonga mbele...sibiri atakavyo washangaza enyi wapika na wapakua MAJUNGU wa UKIWA.