Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Tulisema sana humu, kesi hii TANESCO haishindi hata iende mahakama ya mbinguni. Dowans walitimiza masharti yote waliokubalina na TANESCO, walileta mitambo, inafanya kazi. Halafu uje useme sikulipi ondoa mitambo yako? huo tulisema ni upunguani wa hali ya juu.
Sasa wajiandae kulipa hizo na gharama za kesi na malimbikizo ya riba toka walipokaidi amri ya ICC. Itabidi walipe mara mbili ya hizo kwa ujinga tu wakutaka kudhulumu.
Zitto na Rashid Idriss na wengine tulioona mbali kuhusu hili sakata, tulisema, tukubali tu kuinunuwa hiyo mitambo iwe yetu na hili sakata liishe kwani kupinga ni kujitafutia matatizo, na kweli, Dowansa wakashitaki Kimataifa wakashinda, tukasema tena walipwe tu, watu wakajifanya wajanaja eti wakaenda kushtaki Uingereza, huko nako wakapigwa chini.
wewe sasa unamlaumu nani hapa? Na wanaofanya haya madudu yote si ni serikali yako ya ccm ambayo unajitahidigi kuitetea kuwa ipo kwa maslai ya wananchi? Wewe ukiitwa pungu one je utamlaumu mtu?au utamlaumu maana wewe ni pungu one