Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,108
- 9,216
CCM kushinda ni lazima
Wamepoteana miti yote inateleza,,Kaka nimependa mchango wako hivi fisiemu wanataka nn hawaaaa????
Na ukiona wapambe mia wanaongea kwa niaba ya mgombea ambaye hawezi kusimama hata kwa dk 2.ujue walakini wenyewe umevuka kiwango.
Ingawa yeye na wapambe wake hawajatamka rasmi. Lowassa ameanza kupunguza spidi hata fedha alizokuwa anawagawia maafisa wa UKAWA waliokuwa wanamzingira kwenye kila kampeni zimekatwa.
Watu wameanza kulumbana na hata baadhi ya mikutano imeahirishwa..
tutafika tuuu
Ingawa yeye na wapambe wake hawajatamka rasmi. Lowassa ameanza kupunguza spidi hata fedha alizokuwa anawagawia maafisa wa UKAWA waliokuwa wanamzingira kwenye kila kampeni zimekatwa.
Watu wameanza kulumbana na hata baadhi ya mikutano imeahirishwa..
hivi tangu lini mtu wa ccm hakajua ratiba za kampeni za mgombea wa UKAWA? Kwani wewe ni meneja kampeni wa lowassa?
Wacheni ujinga wenu nyie vijana wa uvccm. Kipiganieni chama chenu kinacho kwenda kufa oct 25.