Mtingozi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 248
- 258
Jamani mnatia aibu. Hiki kiswahili mmefundisha wapi!? KAHACHIWA
Mkuu labda alitaka kuandika neno KAHAWA
Jamani mnatia aibu. Hiki kiswahili mmefundisha wapi!? KAHACHIWA
Kweli mkuu ambao jasho linanyonywa kila siku na tabaka tawala huku wakipewa elimu duni tiba duni na kutukanwa katika nchi yao ndo mana watajikomboa kutoka ktk adha hizi oktoba 25Mtoa Mada ana reflect hali halisi ya wafuasi wa ukawa...na Mkapa hakukosea katu kuwaita vile.
Hatimaye Lawrence Masha amechiwa kutoka mahabusu baada ya jana kuwa amekosa dhamana pale mahakama ya Kisutu, hali iliyopelekea yeye na wenzake kurudishwa rumande.
Lakini mchana huu (wa tarehe 26-08-2015) hatimaye ameweza kutolewa nje kwa dhamana na kusubiria mashtaka yake.
View attachment 280616
Kweli mkuu ambao jasho linanyonywa kila siku na tabaka tawala huku wakipewa elimu duni tiba duni na kutukanwa katika nchi yao ndo mana watajikomboa kutoka ktk adha hizi oktoba 25
Robert Kisena aliyekuwa mgombea wa ccm kule Maswa mwaka 2010 alimtwanga ngumi OCD mpaka akadondoka chini na kofia kumvuka lakini hakuchukuliwa hatua yoyote ile.