Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,083
Baada ya kuishiwa mbinu, ikabidi kikao cha dharura kiitishwe nani ata play part hiyi nafasi hatimaye wakazama front page, wasomi nguli tuliliona hilo kabla na tokea anatangazwa kurejea nchi ya ahadi, hatimae kaanza kazi rasmi, fungeni mkanda maana huyu mwamba ana kila aina za udikteta, na ndio silaha ya mwisho, iliyokuwa ikitegemewa kwenye utawala, soon tutashuhudia mengi, wakuelewa tumeelewa tusio elewa tungoje matokeo, ya kazi za huyu mwamba na hanaga masihara kabisa je mnamjua ni nani?