KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Inatakiwa tuwe tayari kwa kibano, nchi yoyote haiwezi kuendelea kwa kutegemea misaada. TUkikosa misaada wananchi wakakosa huduma tutapata akiri ya kuweza kujua nani haswa anakwamisha maendeleo ya Mtanzania.
Watanzania wataweza kutoa haki ktk hili lakini hawa wanaoendelea kuleta misaada wanazidi sana sana kuwanufaisha watu ambao wanaziweka mifukoni na mwisho wa siku kuzitumia vibaya tusiweze kupata maendeleo.
Lazima hata viongozi wakose mahala pa kuchota fedha za bure hili wasipate pesa za kununua kura kwa wananchi wa kawaida. Na hata wakipata wananchi wawe tayari wameisha fikia wakati wa kujua nini maana ya uchaguzi hili waweze kutoa haki ya kupiga chini viongozi waliosoma jinsi ya kuwa MAFISADI na wasioweza kutatua matatizo ya wananchi.
Watanzania wataweza kutoa haki ktk hili lakini hawa wanaoendelea kuleta misaada wanazidi sana sana kuwanufaisha watu ambao wanaziweka mifukoni na mwisho wa siku kuzitumia vibaya tusiweze kupata maendeleo.
Lazima hata viongozi wakose mahala pa kuchota fedha za bure hili wasipate pesa za kununua kura kwa wananchi wa kawaida. Na hata wakipata wananchi wawe tayari wameisha fikia wakati wa kujua nini maana ya uchaguzi hili waweze kutoa haki ya kupiga chini viongozi waliosoma jinsi ya kuwa MAFISADI na wasioweza kutatua matatizo ya wananchi.