Hatimae Kelvin Twisa afunga ndoa

Wanaoulizia kelvin ni nan,....he is one of the successful guys kwenye TZ telecom industry,now ni head of brand na nini cjui vodacom,
for more info google jina lake,.
 
Hii ni ndoa ya kwanza ya kelvin .Hajawahi kuoa sasa nyinyi mnaopiga makelele kwani mliolewa nae .Dating process ndio ilivyo you choose the best .Nyie Wenyewe mmeona chaguo lake MWANAMKE mwenye elimu,katulia,anaheshima,sio mashauzi na majungu mavitenge mtaani ,good family ( morals values ) .Kelvin is from good family too hawezi toka na watu wa magomeni mapipa vingunguti huko msiojua hata ustaarabu ndio maana hajawaoa .Ndio mjue mwamaume mwenye pesa zake na Akili ( kelvin is very intelligent ) .Hawezi oa watoto wa kupenda midundiko,shanga na vi cream fake .Cheki Eleanor alivyo natural banaa ame focus ,yupo exposed angalau kelvin akimwambia tunawageni Leo anaweza entertain sio Nyie matusi na hata kuweka meza kwa mlo hamuwezi mnaleta bakuli la maji badala ya uma na kisu .MTULIE WANAUME WAKIOA WANATUMIA AKILI .We wish kelvin all the best .Akicheat sasa akiwa Kwenye ndoa that will be a problem .Wanaume hawaoi na hawapendi WANAWAKE wenye mashauzi na tamaa za ajabuajabu it's a big turn off .Leo unakutana na Kelvin anakutaka unaanza kutaka kuhudumiwa list ya vitu .Eleanor very independent woman hamwitaji kelvin kwa pesa mnalo Hilo

Wewe ungekubali kugeuzwa ATM .Unatafuta mapenzi kinachofuatia unachunwa.Eleanor sio mchunaji ana zake ametulia.wanaume Wote duniani Kabla hawajaoa wana date a lot .Kwa nini wamwandame kelvin ? Amewakosea nini ? Ameamua kuoa ni Jambo la pongezi sasa mlikuwa Mnataka afanye nini sasa .Sasa Hivi ni mume wa mtu aki cheat sasa that will be a problem ndio muanze kulalamika.Hao WANAWAKE aliwa force au kidnap .

Umeandika maneno mazito. Ha ha ha Kwa hiyo Kev amekimbia wapenda ATM!!!
 
Kelvin mseminari?

Hahaha, the Kelvin I am referring to is no longer relevant, I am talking eighties, wakati watu tunajulikana wachakaramu kina Kelvin ndio wale watoto wazuri huwakosi na rozari.

Sada naona kule kulikuwa kufuata maagizo ya mama tu, kujitegemea kumetupa Kelvin mpya I guess judging by these accounts.
 
Hahaha, the Kelvin I am referring to is no longer relevant, I am talking eighties, wakati watu tunajulikana wachakaramu kina Kelvin ndio wale watoto wazuri huwakosi na rozari.

Sada naona kule kulikuwa kufuata maagizo ya mama tu, kujitegemea kumetupa Kelvin mpya I guess judging by these accounts.

The one I knew from SRSS is the one we see today. No shocker.
 
heh japo simjui naomba kujua katutoka siku nyingi ama juzijuzi,.

Alifariki kwa ajali ya gari Tanga (walikuwa wawili kwa gari) akitokea Arusha/Moshi alikuwa na rafiki yake pia mtoto wa Luhanga yeye alifariki baadae hospitali. Alifariki 01/08/2007. alizaliwa mwaka 1978.

Mungu awalaze pema peponi.
 
Alifariki kwa ajali ya gari Tanga (walikuwa wawili kwa gari) akitokea Arusha/Moshi alikuwa na rafiki yake pia mtoto wa Luhanga yeye alifariki baadae hospitali. Alifariki 01/08/2007. alizaliwa mwaka 1978.

Mungu awalaze pema peponi.

dah.umenikumbusha mbali mtoto wa luhanga alikuwa anafanya kazi zain? so sad alikuwa peace sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom