Haters wa Jiji la Mbeya njooni hapa [Green City Home Sweet Home]

kuongea kikwenu c tatizo mkuu issue ni mtu wa siti ya mbele kupiga stori na wa siti ya nyuma tena kwa sauti kubwa yaan inakuwa kama mpo kilabuni vile ila mengineyo mko poa mkuu

Asante mkuu!
Mabadiliko huja taratibu, hata hapo tulipofikia ni parefu tu....mabadiliko mara nyingi huletwa na wageni.
Karibu sana GREEN CITY wakaribishe wengine waambie kuhusu fursa zilizopo. Tunahitaji changamoto kutoka kwenu ili kuleta mabadiliko chanya kwa mji wetu ambao ni lango kuu la kiuchumi kwa ukanda wa kusini magharibi.
 
Mkuu hizo zote zimekaa bomba nadhani jiji la mbeya limaweza kuwa la kwanza katika hapo

Jiji la mbeya liwekuwa shaped na hali ya huwa na mazingira ya kigeografia ya mji. Kwa upande mkubwa mbeya ni mji wenye kujitoshereza sana upande wa chakula.

Kuhusu shopping malls mbeya wasahau kwa sababu hata supermarket hazifanyi vizuri kwa sababu zifuatazo kwa kadili ya mtazamo wangu
1. Chakula. Kwa mtu anayeishi mbeya hata asipopanda mboga kwenye bustani basi anaweza kuta imejiotea pembezoni mwa nyumba yake matunda ni mengi kilasi kwamba wenye s'markets wanapoprice bidhaa zao wanakuta zipo juu sana kuliko mtu akipanda kununua kwenye soko la mwanjelwa.
2. Mavazi. Watu wa mbeya wanavaa sana nguo za mtumba kuliko za dukani. Nguo nyingi za mtumba za mbeya ni classic kuliko hapa dar. Kwa waliosoma vyuo mbeya nadhani hili mtanisupport. Sasa hamnaga mtumba kwenye malls.
3. Interaction. Mji wa mbeya upo kwa kiwango cha chini sana kwenye upande wa Interaction na waulaya ambao ndo wenye culture ya hizo malls hili nadhan linasababishwa na uchache wa vivutio vya utalii.
4. Tabia ya walaji. Ikimbukwe hata hapa dar mwamko wa kuenda malls upo chini sana kwa wenyeji. Malls nyingi zipo kinondoni na ilala upande wa posta haya maeneo yana wageni wengi zaidi kuliko sehemu yeyote. Pale quality centre ambao ni Temeke hadi panatia huruma kwa kweli pamepoa balaa na shops nyingi haziko occupued
Kwa hiyo kwa Mbeya jamani tuvumiliane kwa sababu mda utafika Watu watabadilika kadili ya mahitaji na uchumi unavyopanda.
 
Mimi shida yangu nauliza tu kuhusu nyumba za shirika la nyumba (NHC) zipo wapi kwa jijini Mbeya na bei ya kupangisha kama kuna mtu anajua. Niliwatumia e-mail juzi wameniambia niende ofisi za mkoa lakini nipo mbali na Mbeya. Hivyo kama kuna mtu ana ufahamu au uzoefu naomba anielekeze. Natanguliza shukrani.

Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
 
Asante mkuu!
Mabadiliko huja taratibu, hata hapo tulipofikia ni parefu tu....mabadiliko mara nyingi huletwa na wageni.
Karibu sana GREEN CITY wakaribishe wengine waambie kuhusu fursa zilizopo. Tunahitaji changamoto kutoka kwenu ili kuleta mabadiliko chanya kwa mji wetu ambao ni lango kuu la kiuchumi kwa ukanda wa kusini magharibi.
ni kweli mkuu,fursa ni nyng sana hapo aisee hasa kwa sie tunaopenda shughuli za kilimo
 
Kumbe kuelezea mapungufu ni kuropoka haya ngoja nianze kusifia
You're mostly right, na inaonekana kweli unapajua. Mbeya kwa majengo na maisha y kimjini haiifikii hata Dodoma. Ila kuna progress, mji unaojengwa na wafanyabiashara na wakulima sio ajabu kuendelea taratibu kama hivi.
Mambo yatakuwa poa tu mdogo mdogo. Hata Kariakoo enzi zile mabasi ya mkoa yanafika Mnazi Mmoja haikuwa hivi.
 
Kwanini Nonde na Simike wanaishi wajane?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Wambie waache ushirikinina biashara wanafanya mwenyewe tu bwana usipokua mchawi lazima ufunge duka sasa ndio nini ndomana matajili wa mbeya wote wamekulia pale pale wachawi balaa lazima uue mtu ndio ufungue sasa ndio nini?inasemekana kila baada ya nyumba moja ujue kuna mchawi
Mbeya pazuri ila mpunguze uchawi aisee mambo ya kukabana sio poa alafu nasikia mnakaba kwa kutumia makalio alafu mnaprnda kujitenga sana unakuta ma jitu yanaongea kinyakyusa ofisini ,kwenye daladala hadi barabarani huo ni ushamba
 
Yani kasulu uifananishe na mbeya we unaumwa.
Afu kuhusu wakinga inaonekana hujui vizuri historia yao. Mkinga hawezi kumchukua mnyakyusa kuwa kijakazi huwa wanaenda makete wanawaachisha shule ndugu zao wanakuja nao mjini kuwapigisha kazi, same kwa wachaga wanawafata ndugu zao huko kwao wanakaa dukani

Mnyakyusa bora afe na umaskini wake kuliko kutumikishwa, hii ni sababu moja wapo inayotuangusha mbeya unakuta watu huko Kyela hawajasoma au wamefeli sekondari lakini hawakubali kamwe vibarua
 
Back
Top Bottom