Ulinjanga ugwe mwee findu fiki ....uliwankibusu uneMimi mwenyewe kwetu ni Mbeya lakini hadhi ya kuitwa Jiji bado,sijui wanatumia vigezo gani mkoa kupewa hadhi ya Jiji.Wajuvi wa mambo tusaidieni!nipo Mbeya Ituha kuna vumbi balaa eti Jiji!!!!
Eti Jiji,Dah!
Mma nkamu si ka nu kufinda,Imbeje jisyelepo pa ngamu jah Ijiji!Ulinjanga ugwe mwee findu fiki ....uliwankibusu une
Mkuu usilazimishe yai la chupa ya chai kupikia chipsi mayai.Mimi ni mnyakyusa pure na kwa sasa naishi Ituha.Narudia tena Mbeya haina hadhi ya kuitwa Jiji!Unasemaje hauna hadhi ya kuitwa jiji akati hata vigezo hujui, umekurupuka wewe
Ivi ni sehem gani Tanzania ambayo hakuna vumbi au ambapo mji mzima umejengwa vizuri kwa lami
Nisogee SAE kuna nini cha ajabu!Sasa kumbe upo Ituha ndio unalalamika... Sogea hapo Sai kidogo.
Nitajie vigezo vinavyotumika Tanzania ili kuupa mji hadhi ya jijiMkuu usilazimishe yai la chupa ya chai kupikia chipsi mayai.Mimi ni mnyakyusa pure na kwa sasa naishi Ituha.Narudia tena Mbeya haina hadhi ya kuitwa Jiji!
Unashauri nini kifanyike ili uone pa kijanja?Pakixhamba xana
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Na wewe ni wa mbeya?Hhhhaaaa
ZHapanaNa wewe ni wa mbeya?
kuongea kikwenu c tatizo mkuu issue ni mtu wa siti ya mbele kupiga stori na wa siti ya nyuma tena kwa sauti kubwa yaan inakuwa kama mpo kilabuni vile ila mengineyo mko poa mkuuNjoo na ndugu wako, rafiki wako, jirani wako na uliosoma nao elimu ya awali, ya msingi na upili bila kuwasahau wa vyuo vya kati na vya juu.
Mkihamia Green City tutaacha kuongea lugha zetu pendwa ndani ya vyombo vya usafiri vya umma.
Vinginevyo LEKA TUJOBHEPO TUKA BHAJANGA OSWE!
KUKAJA KUNUNU MWEEEE
Halafu kuna kichemchem flan maeneo yale hakikati throughout the yearVipi ilolo kumebadilika
Asante kwa maelezo yaliyo jitoshelezaHome Sweet Home
Mbeya ni mti wenye matunda acha upigwe mawe kuna baadhi ya watu wanajikuta tu wanaichukia mbeya ukimuuliza sababu hana au utaskia hamna mall, hamna maghorofa sijui hamna nini muulize babaako anayo iyo shopping mall, au unataka sehemu ya kupigia picha, ivi wanadhani kujenga mall ni kitendo cha kufungua zipu tu na kukojoa.
Mipango ya kujenga green city mall ipo na inaenda kwa hatua iyo rock city mall yenyewe imejengwa lini kama sio juzi tu ndo imezinduliwa.
Mnatakiwa mtambue Mbeya ilijengeka kitambo sana kabla hata aya mambo ya mipango miji hayajaanza watu walikua wanajimegea maeneo mitaa ya mwanjelwa, mabatini, simike na sehemu nyingine ambazo kwa kipindi icho zilikuwa zimechangamka. Saizi hayo maeneo ndiyo yanaonekana ya ovyo na sehemu ambazo zilikuwa zinaonekana mapori mfano New Forest, Iwambi, Isyesye kuna mpangilio mzuri wa majengo kwakua ni maeneo ambayo yamepangiliwa na mipango miji
Tena kuna mwingine utakuta anaishi kwenye nyumba ya udongo mkoani kwake uko afu anaanza kuidiss mby utaskia hamna nyumba nzuri mby. Ivi upo serious kweli?
Vile vile msisahau kuwa hii ni Tanzania tunaposema Mbeya ni jiji kwa level ya nchi yetu ni jiji tena kubwa sana limeiacha mikoa mingine mbali sana sana yani saaana. Sasa wewe unaesema Mbeya sio jiji uje na vigezo vyako vyenye maelezo sahihi kwanini sio jiji.
Mbeya sio kama mikoa mingine ambayo serikali inapeleka projects kubwa kwaajili ya kuiendeleza Bali mbeya inajengwa kwa kiasi kikubwa na wakazi wake.