thanks again and have you
JF-Expert Member
- May 11, 2023
- 230
- 423
Wakati wengi tukiamini maji ndiyo kinywaji pekee kinachoweza kutumiwa na binadamu kwa kiwango chochote bila kuwa na madhara ,kitaalamu hii ni.tofauti
Mtaalamu "sadick sizya" anasema endapo maji yatakua mengi zaidi ya yanayohitajika mwilini,binadamu anakuwa hatarini kupata sumu inayosababisha kupungua kwa madini muhimu mwilini,ikiwemo sodium.
"Huwa tunahamasishana kunywa maji kwa wingi bila kujari kipimo.inaweza kutokea mtu anamuona mwenzake anakunywa maji zaidi ya lita tano kwa diku na yeye akanywa kiwango hicho bila kujua Kama mwili wake unaruhusu au la,Nasema hivi kwa sababu Kila kitu kina kiasi na hata Kama maji ni uhai na muhimu kwa afya ya wanadamu ,lazima yatumike kwa kiwango kulingana na uwiano wa uzito na urefu wa mtu kwa maana BMI ,ili ujue kiasi gani sahihi Cha maji unywe ni lazima ushauriwe na mtaalamu alisema Dk sizya
Anasema ili kuondoa katika hatari kwa mtu wa kawaida asiye mwanamichezo au anayefanya kazi ngumu ,anatakiwa anywe lita tatu kwa siku.
Mtaalamu "sadick sizya" anasema endapo maji yatakua mengi zaidi ya yanayohitajika mwilini,binadamu anakuwa hatarini kupata sumu inayosababisha kupungua kwa madini muhimu mwilini,ikiwemo sodium.
"Huwa tunahamasishana kunywa maji kwa wingi bila kujari kipimo.inaweza kutokea mtu anamuona mwenzake anakunywa maji zaidi ya lita tano kwa diku na yeye akanywa kiwango hicho bila kujua Kama mwili wake unaruhusu au la,Nasema hivi kwa sababu Kila kitu kina kiasi na hata Kama maji ni uhai na muhimu kwa afya ya wanadamu ,lazima yatumike kwa kiwango kulingana na uwiano wa uzito na urefu wa mtu kwa maana BMI ,ili ujue kiasi gani sahihi Cha maji unywe ni lazima ushauriwe na mtaalamu alisema Dk sizya
Anasema ili kuondoa katika hatari kwa mtu wa kawaida asiye mwanamichezo au anayefanya kazi ngumu ,anatakiwa anywe lita tatu kwa siku.