Mantissa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 876
- 166
Wapenwa wazalendo wa nchi hii, nashawishika kusema kuwa hata mtoto wa elimu ya awali anajua ukweli aliotoa Dr Slaa jana kwenye mdahalo. Huyu jamaa ni kiongozi, habahatishi hata kidogo. Na wale wote wanaoshabikia CCM irudi madarakani (mimi ni mwana CCM mfu), hawa wamerogwa kabisaaa, kama akina MS.
Chonde chonde wazee kwa vijana, tukamchague Dr Slaa. Utampigia vipi kura mhujumu wa nchi kama hujarogwa? Let us be serious, kura yako ni maisha yako. Eti JK anajisifia kunywa chai na Obama, is it? Tumepata kiongozi mwenye hekima na busara, hebu tumpe kura Dr Slaa kwa maendeleo yetu.
Chonde chonde wazee kwa vijana, tukamchague Dr Slaa. Utampigia vipi kura mhujumu wa nchi kama hujarogwa? Let us be serious, kura yako ni maisha yako. Eti JK anajisifia kunywa chai na Obama, is it? Tumepata kiongozi mwenye hekima na busara, hebu tumpe kura Dr Slaa kwa maendeleo yetu.