Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,641
- 28,656
If it were me the judge, ningetafuta kimti hata cha mpera, then ningepiga mkwara kidogo tu, ningesema hivi " well, bw. Kweku ushadi uliotupa unajitosheleza kabisa, ila ili kutenda haki tuankuomba ututhibishie kuwa nawe hujawahi kuchapa nje, so please chukua hiki kipande cha mti ukitafune, ila tahadhari kama umewahi kuchapa nje utapata madhara"
Hapo ukweli ungejulikana
Haijalishi anachapa nje ama laa! Mradi hajakutwa na bwana pepusi..
Halafu hata kama anachapa nje hainipi mimi cheti cha kufanya hayo