SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Nahisi huyu dada kasoma...yupo smart sana kichwani tofauti na hao wenzie wawili.Wanamuharibia Baby Kabaye, Huyu dada ni level kubwa sana. Wambadilishie watu wa kukaa nae pale
Hawapo huru hata kama wana kitu moyoni huogopa kusema ukweli kwa sababu Ruge atawafukuza kaziclouds wote ulimuona nani ni mchambuzi mzuri? wote ni walewale hakuna mwenye afadhali pale.
Hawatangazi kwa uhuru kwa sababu mda wote Ruge anawaangalia kwa umakini mkubwa wasitetee upinzaniKwa mtazamo wangu "at lest " yule dada na yule mwingine mfupi wanaonekana kuwa na independent mind.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishakuwa mwandishi wa chombo huru hupaswi kuonesha hisia zako kwa chama chochote otherwise angekuwa anafanyia Tanzania daima au Gazeti la uhuruKama ameanza kujipendekeza kwa CCM ajue kuwa huku mitaani ipo laana dhidi ya matendo ya CCM kea
hako kajamaa
Hassan ngoma ni mwanachama wa chadema na wote clouds wanajua hilo na kipindi Tundu lisu kapigwa Risasi aliamua kujitoa mhanga kumtetea Lisu lakini Ruge akamsimamisha kazi na mikwara mingiine ya chini kwa chini, , nadhani kaamua kujitoa fahamu kuipenda CCM kwenye Tv ili apewe ukurugenzi, katibu Tawala na Ukuu wa Wilaya lakini moyoni ni chadema, kwa kuwa JF ni jukwaa kubwa akipita humu lazima atajifunza kitu.
Ni matokeo ya walikoanzia na kujilazimisha kuwa wasikostahili. Nijuavyo, Clouds ilianza kama Talk Radio. Talk radios hutegemea utaalamu wa watu wanaowaalika ktk mijadala. Tatizo la hawa jamaa wamejifanya kama ni wanahabari serious kushindana na TBC au BBC au VOA au zingine ndani ya nchi ambao wana utaalaamu na taaluma.Ashakum siyo matusi ila hawa clouds nao sijui hawa baadhi ya watangazaji wao wanawaokotaga wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo la hatari kumuweka mtu kuchambua mambo katika radio au Television inayotazamwa na watu wengi hasa vijana wakati mtu huyo eitha hauwezi uchambuzi (uwezo Wa IQ mdogo) au analamba miguu ya upande mmoja kwa matarajio binafsi.
Leo kwa mara nyingine tena nimemsikia akichambua na wenzake kuhusu yanayoendelea Uganda na issue ya kesi ya Mbowe na wenzake Kisutu.
Hakika nimemshangaa kwa kuonyesha kwake wazi kuwa anaunga mkono yatendwayo kwa wapinzani kwenye issue hizo na kuwa wao ni wakorofi.
Badala ya kulamba miguu ili upate uteuzi kama yule mwingine ambaye tayati Halmashauri ya Mbulu imeshamshinda uende tuu ukatafute kazi nyingine unayoimudu vizuri kuliko kupotosha jamii hasa vijana wanao tazama sana Clouds TV
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekuja kumjua Katibu kuwa alikuwa mwana CCM baada ya kupeleka report,sasa huyo jamaa yako sio mchambuziMfano kidogo tu angechambua kimtindo gani!
Wewe ni mke wake unamfamu vizuri naonaHassan kapata Division four mtihani wa taifa wa foum four. unatajai nini hapo kama si pumba na matapishi.
Mbona kama umepaniki au ndo wewe mwenyewe..mwambie huyo jamaa yako aongeze spidi atateuliwa soonMambo ya JF kila mtu high IQ kila mtu kasoma kumbe wengine wasukuma mikokoteni. Me nadhani muache kuangalia Clouds mfungue TVs zenu mtangaze mnsyotaka nyinyi kusikia masikioni mwenu
Hao ni makada wa LumumbaKazi ya uchambuzi inahitaji mtu mwenye elimu, sijui hawa vilaza wanatolewa wapi
Hujamfuatilia vizuri jamaa ndio mtu pekee yupo neutral hicho kipindi wengine wanajipebdekeza, wewe utakuwa umekiangalia leo tu hicho kipindiMbona kama umepaniki au ndo wewe mwenyewe..mwambie huyo jamaa yako aongeze spidi atateuliwa soon
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga ni mjinga tu hata awe Rais wa nchi kwani watu si wanaoana matendo yake? Huyo Hassan kuonesha udhaifu mkubwa kiasi cha kusemwa si dhambi Mbona watu wasiwaseme hao coo partners wake. Ajirekebisha au kama hatoweza basi asiifanye hiyo kazi haiwezi.Mambo ya JF kila mtu high IQ kila mtu kasoma kumbe wengine wasukuma mikokoteni. Me nadhani muache kuangalia Clouds mfungue TVs zenu mtangaze mnsyotaka nyinyi kusikia masikioni mwenu