Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,387
Katiba ya Kenya na ya Tanzania vinafanana?Jamaa ana uwezo mdogo sana sana. ila anajifanya anajua mambo kumbe very low IQ man.... ndio tatizo la media zetu, wanaokota tu watu mitaani pasipo kuangalia elimu ya mchambuzi..... Ukisikiliza wachambuzi wa The Citizen Kenya au NTV utaona mgongano wa theories na different perspectives katika analysis ya jambo.