franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
BONDIA kutoka Tanga Hassan Mwakinyo ametoa maneno ‘mbofumbofu’ ( katupa jiwe gizani ) kwa kueleza kwamba haogopi mabondia wenye miili mikubwa na pia huwa anafurahia kuona ‘piko’ anazojichora bondia huyo.
Huo ni mkwara kwa moja ya mabondia Bongo ambao wana michoro kwenye miili pamoja na kuwa na umbo kubwa.
Mkwakinyo karusha jiwe gizani ambapo hajamtaja bondia ambaye wamekuwa wakiingia kwenye vita ya maneno mara kwa mara, kila mmoja akimtambia mwenzake.
“Siogopi mabondia wenye miili mikubwa ama michoro kwenye miili yao sina hofu katika hilo nipo imara,”.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni mkwara kwa moja ya mabondia Bongo ambao wana michoro kwenye miili pamoja na kuwa na umbo kubwa.
Mkwakinyo karusha jiwe gizani ambapo hajamtaja bondia ambaye wamekuwa wakiingia kwenye vita ya maneno mara kwa mara, kila mmoja akimtambia mwenzake.
“Siogopi mabondia wenye miili mikubwa ama michoro kwenye miili yao sina hofu katika hilo nipo imara,”.
Sent using Jamii Forums mobile app