gwandumi
Senior Member
- Oct 15, 2008
- 151
- 57
mkuu tupia basi kati hiyo mp3 tupate ladha za wakongwe..
pamoja mkuu
shadow of dark destiny unaweza upata TZhiphop | Hali Halisi
mkuu tupia basi kati hiyo mp3 tupate ladha za wakongwe..
pamoja mkuu
Mkuu tuwekee hiyo ngoma ya Shadow in the darkness, kiukweli namkubali sana huyu jamaa.
[h=6]Nimefungua macho kujikuta vitani,
Kimenuka nadhani wameshavuta majani
Epuka kujihami mabomu yanalipuka jirani,
wanajuta kukuta haki haipatikani kwa amani
Kuruta baki nyumbani, tumevuka imani,
yani kiasi kusuka dili hujistiri gizani
Na bendera inaendelea kupepea nusu mlingoti
wanajeshi na masela, mahabusu nipe ripoti.... by Hasheem Dogo[/h]
Verse mbili za kwanza Na korasi zipo kwa lugha ya malikia, so sikuzikariri.
Chukua hii verse ya mwisho ipo kikwetu;
Hivi vitu viko wazi, kama vazi la kahaba,
Nasambaza maradhi, halafu nakupa Siku 7,
Machozi ni haba, Uokozi ni Njozi baba,
Ulimwengu wa Saba, Jehanam ya aina yake,
Kipe kitu kikupe, kikutupe kupe akikunyonya damu kwa hamu,
Kama hujafaham, DOGO mwanaharam,
Kalam inamwaga damu,
Nakuacha mweupe ka' mkorogo,
Chata ka' wagogo,
Wabongo acheni nyodo,
Wote mnakula hongo,
Hivi hii ni Serikali,
Au Sera Kali kwa mbali,
Au sera za mali,
Ni ipi,tafakari, nakufa kiume,
Tunapokwenda pana Zali,
Vichaa wangu walume wananyaka hiyo hali,
Tujitume, Pesa tuchume, kwa mwezi tudake,
Utake usitake, kila mjuba sasa kivyake mifuko itune,
Kama hujipendi njoo nichune, wabongo roho ziume,
Kama hufiki, usijikune,
Hivi inatiki,
Kila siku ya wiki,
Ikipata karatasi, wino hutoka kwa kasi,
Basi nina wasiwasi, kwa haya nawahasi,
Kiu ya Jicho, ulicho nacho ndicho ulicho,
Bongo ni Kama ficho, ya huwezi huchezi na anga,
Tokea '78 wabongo wamefunga mkanda!!
here is a track hommie.listen to the swahili lyrics then picture it with the current social/political tragedy that tanzania is passing through there you get to admit Dogo Hashim ni Mwanaharam.Verse mbili za kwanza Na korasi zipo kwa lugha ya malikia, so sikuzikariri.
Chukua hii verse ya mwisho ipo kikwetu;
Hivi vitu viko wazi, kama vazi la kahaba,
Nasambaza maradhi, halafu nakupa Siku 7,
Machozi ni haba, Uokozi ni Njozi baba,
Ulimwengu wa Saba, Jehanam ya aina yake,
Kipe kitu kikupe, kikutupe kupe akikunyonya damu kwa hamu,
Kama hujafaham, DOGO mwanaharam,
Kalam inamwaga damu,
Nakuacha mweupe ka' mkorogo,
Chata ka' wagogo,
Wabongo acheni nyodo,
Wote mnakula hongo,
Hivi hii ni Serikali,
Au Sera Kali kwa mbali,
Au sera za mali,
Ni ipi,tafakari, nakufa kiume,
Tunapokwenda pana Zali,
Vichaa wangu walume wananyaka hiyo hali,
Tujitume, Pesa tuchume, kwa mwezi tudake,
Utake usitake, kila mjuba sasa kivyake mifuko itune,
Kama hujipendi njoo nichune, wabongo roho ziume,
Kama hufiki, usijikune,
Hivi inatiki,
Kila siku ya wiki,
Ikipata karatasi, wino hutoka kwa kasi,
Basi nina wasiwasi, kwa haya nawahasi,
Kiu ya Jicho, ulicho nacho ndicho ulicho,
Bongo ni Kama ficho, ya huwezi huchezi na anga,
Tokea '78 wabongo wamefunga mkanda!!
Dada umetisha,Verse mbili za kwanza Na korasi zipo kwa lugha ya malikia, so sikuzikariri.
Chukua hii verse ya mwisho ipo kikwetu;
Hivi vitu viko wazi, kama vazi la kahaba,
Nasambaza maradhi, halafu nakupa Siku 7,
Machozi ni haba, Uokozi ni Njozi baba,
Ulimwengu wa Saba, Jehanam ya aina yake,
Kipe kitu kikupe, kikutupe kupe akikunyonya damu kwa hamu,
Kama hujafaham, DOGO mwanaharam,
Kalam inamwaga damu,
Nakuacha mweupe ka' mkorogo,
Chata ka' wagogo,
Wabongo acheni nyodo,
Wote mnakula hongo,
Hivi hii ni Serikali,
Au Sera Kali kwa mbali,
Au sera za mali,
Ni ipi,tafakari, nakufa kiume,
Tunapokwenda pana Zali,
Vichaa wangu walume wananyaka hiyo hali,
Tujitume, Pesa tuchume, kwa mwezi tudake,
Utake usitake, kila mjuba sasa kivyake mifuko itune,
Kama hujipendi njoo nichune, wabongo roho ziume,
Kama hufiki, usijikune,
Hivi inatiki,
Kila siku ya wiki,
Ikipata karatasi, wino hutoka kwa kasi,
Basi nina wasiwasi, kwa haya nawahasi,
Kiu ya Jicho, ulicho nacho ndicho ulicho,
Bongo ni Kama ficho, ya huwezi huchezi na anga,
Tokea '78 wabongo wamefunga mkanda!!
wadau wa mziki wa hiphop ya kiTZ (siku hizi bongo fleva kwa ujumla wake)mtakuwa mnamkumbuka
huyu brother.he was an illest mc ever btwn 1995-2002.kipindi hicho nakumbuka nilikuwa O-LEVEL na nilimkubari sana hashim na mashairi yake ya ki-hiphop.siku hizi wabana pua ndio wanao tamba.yupo wap hashim a.k.a dogo.
View attachment 35077
Huwezi kumkosoa kala pina kwa staili yake ya kurap kwani kila mtu ana stail yk ya kurap ipo wazi kama hakuna mwanahiphop wa ukweli tz east afrika kama KAMANDA wangu kala pina @
[h=6]Nimefungua macho kujikuta vitani,
Kimenuka nadhani wameshavuta majani
Epuka kujihami mabomu yanalipuka jirani,
wanajuta kukuta haki haipatikani kwa amani
Kuruta baki nyumbani, tumevuka imani,
yani kiasi kusuka dili hujistiri gizani
Na bendera inaendelea kupepea nusu mlingoti
wanajeshi na masela, mahabusu nipe ripoti.... by Hasheem Dogo[/h]
Hashim Rubanza?
huyu jamaa alikuwa ni mkali sana, mara ya mwisho nilikutana Libya kabla machafuko ya kumtoa Gaddafi hayajaanza! alikuwa amekuja kikazi na kampuni fulani hivi ya south africa, aliniambia mziki hajaacha bali amepumzika tuuwadau wa mziki wa hiphop ya kiTZ (siku hizi bongo fleva kwa ujumla wake)mtakuwa mnamkumbuka
huyu brother.he was an illest mc ever btwn 1995-2002.kipindi hicho nakumbuka nilikuwa O-LEVEL na nilimkubari sana hashim na mashairi yake ya ki-hiphop.siku hizi wabana pua ndio wanao tamba.yupo wap hashim a.k.a dogo.
View attachment 35077