Hashim a.k.a Dogo yupo wapi?

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,453
20,712
wadau wa mziki wa hiphop ya kiTZ (siku hizi bongo fleva kwa ujumla wake)mtakuwa mnamkumbuka
huyu brother.he was an illest mc ever btwn 1995-2002.kipindi hicho nakumbuka nilikuwa O-LEVEL na nilimkubari sana hashim na mashairi yake ya ki-hiphop.siku hizi wabana pua ndio wanao tamba.yupo wap hashim a.k.a dogo.

HIP.jpg
 
yeye pamoja na mwenzake karama masoud aka kalapina kwa pamoja ndio walianzisha kundi la kikosi cha mizinga, kundi ambalo lilikuwa likiangaliwa kwa mtazamo wa tofauti kuanzia na media mpaka jamii kiujumla. Nadhani maneno makali waliyokuwa waiyaongea hawa jamaa yalikuwa hayapokelewi kwa mtazamo chanya ndio maana jamaa akaona haina haja bora aangalie ustaarabu mwingine japo mwenzie kalapina anakomaa mpaka leo, ila kiukweli yule jamaa alikuwa emcee hodari. Naikumbuka nyimbo yake ilikuwa inaitwa 'chochote unachofanya'
 
wadau wa mziki wa hiphop ya kiTZ (siku hizi bongo fleva kwa ujumla wake)mtakuwa mnamkumbuka
huyu brother.he was an illest mc ever btwn 1995-2002.kipindi hicho nakumbuka nilikuwa O-LEVEL na nilimkubari sana hashim na mashairi yake ya ki-hiphop.siku hizi wabana pua ndio wanao tamba.yupo wap hashim a.k.a dogo.


View attachment 35077
Jamaa ndio muanzilishi wa kikosi cha mizinga, Kalapina kafundishwa game na Hashim ila baada ya kuleta mziki wa kupiga watu na kuwaibia raia Hashim hakupendezwa tena na kundi lake akaendelea na masomo udsm na sasa yuko mtoni ila aliskika kwenye free style version za watengwa kundi kutoka arusha, jamaa alikua makini na hakuna anayemuweza kwa kuimba kingereza hapa Africa, kama wewe sii new school kama hawa watoto masharoharo utakuwa ulisikiliza ngoma yake ya SHADOW IN THE DARKNESS.
 
funga mikanda jamani...
Naona suka anaacha lami...

Nimekumbuka baadhi ya mistari katika songi la tunasonga'

Hashim dogo ni most talented mcee nliyepata kumsikia ktk nchi hii, hkika yu kichwaa...
 
Mkuu tuwekee hiyo ngoma ya Shadow in the darkness, kiukweli namkubali sana huyu jamaa.
 
[h=6]Nimefungua macho kujikuta vitani,
Kimenuka nadhani wameshavuta majani
Epuka kujihami mabomu yanalipuka jirani,
wanajuta kukuta haki haipatikani kwa amani
Kuruta baki nyumbani, tumevuka imani,
yani kiasi kusuka dili hujistiri gizani
Na bendera inaendelea kupepea nusu mlingoti
wanajeshi na masela, mahabusu nipe ripoti.... by Hasheem Dogo[/h]
 
yeye pamoja na mwenzake karama masoud aka kalapina kwa pamoja ndio walianzisha kundi la kikosi cha mizinga, kundi ambalo lilikuwa likiangaliwa kwa mtazamo wa tofauti kuanzia na media mpaka jamii kiujumla. Nadhani maneno makali waliyokuwa waiyaongea hawa jamaa yalikuwa hayapokelewi kwa mtazamo chanya ndio maana jamaa akaona haina haja bora aangalie ustaarabu mwingine japo mwenzie kalapina anakomaa mpaka leo, ila kiukweli yule jamaa alikuwa emcee hodari. Naikumbuka nyimbo yake ilikuwa inaitwa 'chochote unachofanya'

Huo wimbo ni wa Afro reign ft Hashim Dogo-Saa za Kazi,Nyimbo zake ni kama "In the shadow,Tunasonga(yupo na kalapina) etc jamaa ni consious mc kweli
 
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Jamaa ndio muanzilishi wa kikosi cha mizinga, Kalapina kafundishwa game na Hashim ila baada ya kuleta mziki wa kupiga watu na kuwaibia raia Hashim hakupendezwa tena na kundi lake akaendelea na masomo udsm na sasa yuko mtoni ila aliskika kwenye free style version za watengwa kundi kutoka arusha, jamaa alikua makini na hakuna anayemuweza kwa kuimba kingereza hapa Africa, kama wewe sii new school kama hawa watoto masharoharo utakuwa ulisikiliza ngoma yake ya SHADOW IN THE DARKNESS.</span></font>
<br />
<br />
jina tu la wimbo linaonyesha kuwa jamaa alikuwa na akili sana, sio kama hawa wabana pua ambao ubongo wao unawaza mademu tu.
 
Hashim alimfundisha Kalapina game baadaye pina mpenda sifa akawa anamtusi Hashim Dogo, Jamaa alikuwa mgumu wa ukweli alimwacha baba yake mwenye hela kule Mbezi na kuja ishi na masela Block 41, aliishi USA late 1990s na kurudi kama sikosei kwa repatriation na alipoanzisha Kikosi Cha Mizinga alimrudia mola na kuwa mzee wa swala tano yeye pamoja na pina, lakini pina nadhani swala tano alikuwa anaigiza yakamshinda akabaki kupigana na kina dudubaya Dogo Mwendawazimu Hashim akamtosa na kuondoka kwenye game.

Nilimwona UDSM akichapa kitabu na siku za mwisho nadhani mwisho wa disemba nilikutana naye PPF chini akiwa ndani ya mkoko wake.

Ni MC ambaye P Funk majani alikuwa anamkubali sana.
 
atakuwa amekuwa ss ameachana na muziki
wadau wa mziki wa hiphop ya kiTZ (siku hizi bongo fleva kwa ujumla wake)mtakuwa mnamkumbuka
huyu brother.he was an illest mc ever btwn 1995-2002.kipindi hicho nakumbuka nilikuwa O-LEVEL na nilimkubari sana hashim na mashairi yake ya ki-hiphop.siku hizi wabana pua ndio wanao tamba.yupo wap hashim a.k.a dogo.

View attachment 35077
 
Jamaa ndio muanzilishi wa kikosi cha mizinga, Kalapina kafundishwa game na Hashim ila baada ya kuleta mziki wa kupiga watu na kuwaibia raia Hashim hakupendezwa tena na kundi lake akaendelea na masomo udsm na sasa yuko mtoni ila aliskika kwenye free style version za watengwa kundi kutoka arusha, jamaa alikua makini na hakuna anayemuweza kwa kuimba kingereza hapa Africa, kama wewe sii new school kama hawa watoto masharoharo utakuwa ulisikiliza ngoma yake ya SHADOW IN THE DARKNESS.

mkuu tupia basi kati hiyo mp3 tupate ladha za wakongwe..
pamoja mkuu
 
yeye pamoja na mwenzake karama masoud aka kalapina kwa pamoja ndio walianzisha kundi la kikosi cha mizinga, kundi ambalo lilikuwa likiangaliwa kwa mtazamo wa tofauti kuanzia na media mpaka jamii kiujumla. Nadhani maneno makali waliyokuwa waiyaongea hawa jamaa yalikuwa hayapokelewi kwa mtazamo chanya ndio maana jamaa akaona haina haja bora aangalie ustaarabu mwingine japo mwenzie kalapina anakomaa mpaka leo, ila kiukweli yule jamaa alikuwa emcee hodari. Naikumbuka nyimbo yake ilikuwa inaitwa 'chochote unachofanya'
<br />
<br />
tena kwa uhakika nani mzugaji na nani anawajibika....huyu jamaa ni mkali mpaka kuna watoto wa m lab wanambite
 
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Jamaa ndio muanzilishi wa kikosi cha mizinga, Kalapina kafundishwa game na Hashim ila baada ya kuleta mziki wa kupiga watu na kuwaibia raia Hashim hakupendezwa tena na kundi lake akaendelea na masomo udsm na sasa yuko mtoni ila aliskika kwenye free style version za watengwa kundi kutoka arusha, jamaa alikua makini na hakuna anayemuweza kwa kuimba kingereza hapa Africa, kama wewe sii new school kama hawa watoto masharoharo utakuwa ulisikiliza ngoma yake ya SHADOW IN THE DARKNESS.</span></font>
<br />
<br />
acha uongo hakuna mtu anaefundishwa kurapu sikiliza tunasonga na mstari wa mbele ndo utajua pina hakufundishwa kurapu na hashim sema inawezekana kuna sharing ideas
 
yeye pamoja na mwenzake karama masoud aka kalapina kwa pamoja ndio walianzisha kundi la kikosi cha mizinga, kundi ambalo lilikuwa likiangaliwa kwa mtazamo wa tofauti kuanzia na media mpaka jamii kiujumla. Nadhani maneno makali waliyokuwa waiyaongea hawa jamaa yalikuwa hayapokelewi kwa mtazamo chanya ndio maana jamaa akaona haina haja bora aangalie ustaarabu mwingine japo mwenzie kalapina anakomaa mpaka leo, ila kiukweli yule jamaa alikuwa emcee hodari. Naikumbuka nyimbo yake ilikuwa inaitwa 'chochote unachofanya'
<br />
<br />
tena kwa uhakika nani mzugaji na nani anawajibika....huyu jamaa ni mkali mpaka kuna watoto wa m lab wanambite
 
Jamaa ndio muanzilishi wa kikosi cha mizinga, Kalapina kafundishwa game na Hashim ila baada ya kuleta mziki wa kupiga watu na kuwaibia raia Hashim hakupendezwa tena na kundi lake akaendelea na masomo udsm na sasa yuko mtoni ila aliskika kwenye free style version za watengwa kundi kutoka arusha, jamaa alikua makini na hakuna anayemuweza kwa kuimba kingereza hapa Africa, kama wewe sii new school kama hawa watoto masharoharo utakuwa ulisikiliza ngoma yake ya SHADOW IN THE DARKNESS.
tunasonga kwa mwendo wa falasi au kinyonga;tunasonga.......dah hii mistari inanikumbusha mbali sana.namkumbuka kanali masawe jite ute back then.
 
Back
Top Bottom