Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?