Harusi ya mwana jf zemu-kule tanga.

Tall

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
1,425
165
Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?
 
Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?


Katika hizo zote hapo juu, unadhani ni kamati ipi itakuwa na idadi kubwa ya warembo? Hiyo ndiyo itayonifaa zaidi!
 
Mchango mwingine wa harusi!!!! Lini mtaanza michango ya kusaidia mashule yetu ambayo yako katika hali mbaya!?
 
Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?

Kaka Tall kwanza nakushukuru kwa kuwakumbusha wanaJF, tarehe imebadilika kidogo itakuwa tarehe 17/04 baada ya tarehe hio ya awali kuwa na mkutano wa wachungaji.Karibuni sana WanaJF.
 
Kaka Tall kwanza nakushukuru kwa kuwakumbusha wanaJF, tarehe imebadilika kidogo itakuwa tarehe 17/04 baada ya tarehe hio ya awali kuwa na mkutano wa wachungaji.Karibuni sana WanaJF.

Mh. Mwaka gani mzee??
 
Kaka Tall kwanza nakushukuru kwa kuwakumbusha wanaJF, tarehe imebadilika kidogo itakuwa tarehe 17/04 baada ya tarehe hio ya awali kuwa na mkutano wa wachungaji.Karibuni sana WanaJF.
mboan imeshapitaaaaa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom