<br />Timu ya Taifa kukutana kwake ni mara chache na wachezji wanakaa pamoja kpindi kifupi na klabu wachezaji wanakuwa pamoja muda mrefu,pengine kocha alitaka kumuona anauwezo gani anapokutana na wachezaji ambao hajazoeana nao, na pengine pia alitaka kumuona jinsi atakavyo itikia wito kutokana na mwenendo wa mchezaji husika.
<br />
Hata kama timu haitakaa muda mrefu si kuna kipindi cha mazoezi na kuna mechi za kirafiki za timu Taifa star.
Bado pointi yangu inabaki, Makocha wa timu za Taifa kote duniani hasa ulaya yuko tayari kusafiri umbali mrefu kwenda kumwona mchezaji mmoja, sisi hapa tulikuwa na mashindano ya taifa cup, Mwaikimba alicheza karibia mechi zote na akaibuka kuwa mfungaji bora, Poulsen hakuhangaika kuhudhuria hata mechi moja, kwenye ligi Mwaikimba kacheze mechi nyingi na kafunga magoli mengi tuambiani Poulsen alihudhuria mechi ngapi kumwona Mwaikimba leo anataka akamwone kwenye mechi mbili tena za U23, Haruna naye kacheza Kagame mechi zote Poulsen yuko kwao anakula bata, watu wako na ratiba zingine yeye anakuja na ngojera za kutaka kuwaona eti kama wanauwezo.
Mnaomtetea kocha na kumponda Boban twambian siku alivyoita kikosi cha kwanza hao wachezaji aliwaona wapi, Alivyowaita Dan Mrwanda kutoka Vietnam, Henry Joseph toka sijui Norway, Athuman Machupa na Said Maulid aliwaona kwenye timu gani?