Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Wataalamu wa magonjwa ya ngozi nisaidieni kila saa nasikia harufu mbaya kwenye mapu__u nuumetumia deodorant nikawashwaz sikupona, Dr?linambia dawa ya fungus Hydrocotizone na nivae chupi safi na ziwe mpya ktk Biology form 4 tulisoma kuna joto kali huko nisaidieni nashinda bafuni