mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 736
- 1,054
Ifike wakati washauri wa wasanii hawa wawaze nje ya Box. Kwanza kutumika tu na Yanga ni kuiga walichafanya Mikia (Simba) lakini Kama haitoshi na nyimbo uliotunga ni umecopy Kama sio kubadili tu maneno.
Huo wimbo wa Yanga ungeimba kwa mahadhi tofauti na singeli ungeenda mbali sana, Ila kwa uoichofanya hiyo ngoma itaishia tu uwanjani pale Kama ilivyoishia ngoma ya Domo.
Seba sijui anafanya kazi gani namuona anaruka ruka tu mtu mzima mambo ambayo wangefanya akina casmir. Hata Kama ilikuwa dhalura watunzi wapo wengi tangaza dili tukuandikie ngoma kali za kusherehesha.
Hapo utuzingua wananchi. Seba ni Mtaalam wa Biashara Ila hana sikio la Muziki kusikia ngoma kali kabla haijatoka ongeza wataalam kwenye team yako.
Huo wimbo wa Yanga ungeimba kwa mahadhi tofauti na singeli ungeenda mbali sana, Ila kwa uoichofanya hiyo ngoma itaishia tu uwanjani pale Kama ilivyoishia ngoma ya Domo.
Seba sijui anafanya kazi gani namuona anaruka ruka tu mtu mzima mambo ambayo wangefanya akina casmir. Hata Kama ilikuwa dhalura watunzi wapo wengi tangaza dili tukuandikie ngoma kali za kusherehesha.
Hapo utuzingua wananchi. Seba ni Mtaalam wa Biashara Ila hana sikio la Muziki kusikia ngoma kali kabla haijatoka ongeza wataalam kwenye team yako.