Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Hawa wanapewa vichwa na wale wanaojibu thread zao... dawa yao ni kuwapotezea tuMwenzio Malaria sugu alikuja na thread yake ya "itv ina ubaguzi wa kidini" ikafungwa muda si mrefu, bahada ya kuonekana inaanza kuhatarisha amani na mshikamano tuliokuwa nao ndani ya JF. na wewe naona unaanza hayohayo. Hivi hamna kingine cha kuandika humu zaidi ya habari zinazoashiria udini?