Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Hongera kwa ufanisi. Hata mie niliwauliza baadhi ya Wanahabari, walichojibu HAWAKUALIKWA kama ilivyokuwa wakati wa Makongamano ya Waislamu, ni Radio Imaan tu ilikuwa mwenyeji wa Makongamano hayo, pia ndiyo inaweza kuripoti vizuri mambo ya aina hiyo bila kuhujumu kitu.Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Mwenzio Malaria sugu alikuja na thread yake ya "itv ina ubaguzi wa kidini" ikafungwa muda si mrefu, bahada ya kuonekana inaanza kuhatarisha amani na mshikamano tuliokuwa nao ndani ya JF. na wewe naona unaanza hayohayo. Hivi hamna kingine cha kuandika humu zaidi ya habari zinazoashiria udini?Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Ni habari na ndo maana umeileta hapa kwa magreat thinkers waichambue. Lakini mngefanya hivi tangu miaka ile 1992 kipindi kile cha akina Kighoma Malima,mngekuwa mbali na hata vyuo mngejenga.Na usitegemee waandishi wa habari,kwani mliwaalika na walikuja na hawakui publish? Au umekurupuka tu!Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Mwenzio Malaria sugu alikuja na thread yake ya "itv ina ubaguzi wa kidini" ikafungwa muda si mrefu, bahada ya kuonekana inaanza kuhatarisha amani na mshikamano tuliokuwa nao ndani ya JF. na wewe naona unaanza hayohayo. Hivi hamna kingine cha kuandika humu zaidi ya habari zinazoashiria udini?
Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
Mwenzio Malaria sugu alikuja na thread yake ya "itv ina ubaguzi wa kidini" ikafungwa muda si mrefu, bahada ya kuonekana inaanza kuhatarisha amani na mshikamano tuliokuwa nao ndani ya JF. na wewe naona unaanza hayohayo. Hivi hamna kingine cha kuandika humu zaidi ya habari zinazoashiria udini?
Bornvilla,
Kwa nini dhehebu kubwa na linalotaka hadhi linashindwa hata na vi-NGO! Kuna kitu kinaitwa Social Marketing. Hii dhana kwanza inatambua umuhimu wa kuwa na mtu wa Uvumishaji na Masoko (Promotion and Marketing) si katika taasisi na makampuni yanayojiendehsa kwa kutafuta faida tu, bali hata katika asasi, Taasisi na mashirika yanasijiendesha kwa kutafuta faida.
Ni Taasisi na asasi zilizobaki zikikumbatia mtazamo wa kizamani tu ndo zinaathirika kwa kuwa na habari zisizofika kwenye hadhira kubwa zaidi yaani vyombo vya habari. Na kwa taarifa yako kina Pasco (waandishi) wa hawaji bila mwaliko labda tukio lile liwe ni ajali! Swali Je, mliwaalika?
Usitake kuniaminisha kuwa BAKWATA na lundo la matawi ya Taasisi ndogo ndogo zote e.g BATAMIKI etal hawana kitengo cha Habari! Hii itatia wasiwasi kuwa mmejenga msikiti kabla ya kuwafundisha watu kuswali! Namaanisha mnataka kumiliki chombo cha habari bila kuwa au kuwaandaa watakaokuwa wanakusanya na kutangaza hizo habari.
Mimi nadhani hata mkifanikiwa kuizindua hiyo TV Imani bado mtaendelea kulalamika kuwa mbona TV yetu haitangazwi na TV nyingine. Watu wa ajabu sana!Watu walikuwa wengi sana na mamilioni yalikusanywa! Lakini vyombo vya habari havikuipa kipaumbele je,hiyo si habari? Mbona harambee za makanisa zinapamba vyombo vya habari? Kunanini hapa?
huo ni udini, mbona shughuli za wakristo waandishi wanakwenda na wanaripoti? Au wanapewa mlungula? Au kwa vile sisi waislamu hatutoi mlungula?