MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,296
Mimi ni mpenzi sana wa mienendo ya kisiasa nchini Bongoland. Ninatumia jina Bongoland makusudi kutokana na hoja yangu hii hapa chini:
Katika miaka ya hivi karibuni (miwili, mitatu iliyopita) kumeibuka vuguvugu la 'harakati za ukombozi'. Vuguvugu ambazo ninaweza kuzianisha katika aina tatu:
(a) Wazanzibari wanataka kujikomboa kutoka mikononi mwa ‘mkoloni' Tanganyika (rejea mihadhara ya UAMSHO na kauli za viongozi kama akina Seif, Jussa, Mzee Moyo, nk);
(b) Walalahoi wa Tanganyika wanataka kujikomboa kutoka katika ‘mfumo wa kifisadi' wa CCM (rejea CDM's M4C); na
(c) Waislamu (wa Tanganyika na Unguja) wanataka kujikomboa kutoka katika makucha ya ‘mfumo-Kristu' ambao umeasisiwa na kudumishwa na CCM chama ambacho kimekuwa madarakani tokea uhuru na ambacho wao wenyewe ni mojawapo ya ngome zake kuu!! (Rejea kauli za akina Sheikh Ponda et al).
Ni harakati ipi ina tija na ipi ambayo saa yake ya kuleta ukombozi imekaribia?
Katika miaka ya hivi karibuni (miwili, mitatu iliyopita) kumeibuka vuguvugu la 'harakati za ukombozi'. Vuguvugu ambazo ninaweza kuzianisha katika aina tatu:
(a) Wazanzibari wanataka kujikomboa kutoka mikononi mwa ‘mkoloni' Tanganyika (rejea mihadhara ya UAMSHO na kauli za viongozi kama akina Seif, Jussa, Mzee Moyo, nk);
(b) Walalahoi wa Tanganyika wanataka kujikomboa kutoka katika ‘mfumo wa kifisadi' wa CCM (rejea CDM's M4C); na
(c) Waislamu (wa Tanganyika na Unguja) wanataka kujikomboa kutoka katika makucha ya ‘mfumo-Kristu' ambao umeasisiwa na kudumishwa na CCM chama ambacho kimekuwa madarakani tokea uhuru na ambacho wao wenyewe ni mojawapo ya ngome zake kuu!! (Rejea kauli za akina Sheikh Ponda et al).
Ni harakati ipi ina tija na ipi ambayo saa yake ya kuleta ukombozi imekaribia?