Harakati za kusaka wadhamini zinakiuka sheria ya uchaguzi chapter 343

Mm naungana na ww kabisa wagombea wameanza kabla ya kipindi cha kampeni imefikia hadi baadhi ya wagombea wanatoa rushwa wakidai ni misaada unaweza aje kutoa msaada ukiwa tayari chama chako kimeisha kuteua? Hata hiyo ni kinyume cha utaratibu wote uliowataja na wengine uliowasahau watasababisha matatizo
 
"Kitendo cha kukodi gari la matangazo kupita mitaani kuhamasisha watu, kuandaa jukwaa na kuhutubia kwa zaidi ya saa nzima huku ukijitapa namna serikali yako itakavyokuwa na kujaribu kukosoa serikali iliyopo madarakani ...."

Sheria gani unayoiongelea wewe, maana THE NATIONAL ELECTIONS ACT, CAP. 343 (R.E. 2015) kifungu cha 31 hakiongelei unachokisema hapo juu. Kinasema ...

"31. Number of nominators In order to be validly nominated to stand as a Presidential candidate, a person must be nominated in writing, by not less than two hundred nominators who are registered voters for the purpose of elections under this Act from each of at least ten regions of the United Republic, out of which at least two regions are in Tanzania Zanzibar. "

Waambie manyumbu wenzio watulie waendelee kupata dozi upepo wa Lissu mwaka huu..
Screenshot_20200814-161657_Adobe%20Acrobat.jpg
 
Ukiona mtu anaandika topic kwa kirefu namna hii, basi ujue huyo ni CCM anataka kulazimisha kueleweka na kupinda maneno. Points ni short and clear
Anajitembeza ili anunuliwe,
Narudia tanzaia hattachagua mshirka wa ushoga
 
Kwani mlipo mpiga Risasi Tundu Lissu ndio ulikuwa utawala wa Sheria? Na mlipo muua Alphonce Mawazo, Azori, Ben Saanane mlikuwa mnafuata Katiba?

Au mlipo waengua wagombea wote wa upinzani ktk serikali za mitaa mlikuwa mnafuata sheria?Au mlipo muwekea SUMU Mangula mlikuwa mnafuata sheria?

Mataga tulieni tuu msumari hutolewa pale pale ulipo ingilia.
Hile sumu ya mangula ilikua kategwa member lkn kwa ujasusi wake member akaushtukizia mtego
 
CCM acheni wivu wa kike; hizo dk 30 mpaka 60 zinawapunguzia mini? Mbona ninyi mmehutubia miaka 5 hatujawahi kuwazuia, acheni watanzania wawasindikize wagombea wao, so mnataka waende peke yao muwateke!!

Hamna hoja mpya zaidi ya ndege na madaraja...tunataka kusikia wengine wanasemaje !!

Uchaguzi ushaanza kuwa na harufu ya damu!!

Hii ni Rwanda, Burundi Sudan Kusini....ni vita sasa!! Its Survival for ur fitness.!! Kama hatua za hekima hazitachukuliwa haraka!!
 
"Kitendo cha kukodi gari la matangazo kupita mitaani kuhamasisha watu, kuandaa jukwaa na kuhutubia kwa zaidi ya saa nzima huku ukijitapa namna serikali yako itakavyokuwa na kujaribu kukosoa serikali iliyopo madarakani ...."

Sheria gani unayoiongelea wewe, maana THE NATIONAL ELECTIONS ACT, CAP. 343 (R.E. 2015) kifungu cha 31 hakiongelei unachokisema hapo juu. Kinasema ...

"31. Number of nominators In order to be validly nominated to stand as a Presidential candidate, a person must be nominated in writing, by not less than two hundred nominators who are registered voters for the purpose of elections under this Act from each of at least ten regions of the United Republic, out of which at least two regions are in Tanzania Zanzibar. "

Waambie manyumbu wenzio watulie waendelee kupata dozi upepo wa Lissu mwaka huu..View attachment 1537053
 

Attachments

  • VID-20200725-WA0001.mp4
    3.3 MB
CCM acheni wivu wa kike; hizo dk 30 mpaka 60 zinawapunguzia mini? Mbona ninyi mmehutubia miaka 5 hatujawahi kuwazuia, acheni watanzania wawasindikize wagombea wao, so mnataka waende peke yao muwateke!!

Hamna hoja mpya zaidi ya ndege na madaraja...tunataka kusikia wengine wanasemaje !!

Uchaguzi ushaanza kuwa na harufu ya damu!!

Hii ni Rwanda, Burundi Sudan Kusini....ni vita sasa!! Its Survival for ur fitness.!! Kama hatua za hekima hazitachukuliwa haraka!!
Achilia damu hata mkono hautamwagika
 
Mara nyingi vyama vilivyozeeka huwa haviondoki kwa amani madarakani, mpaka vihakikishe vimemwaga damu ya wananchi wake.

Na ni nadra Sana kuja kushika madaraka tena.
Aliyefata malisho nchini kwetu atokuwa na amani ni Hadi aone tumesambaratika kabisa ndugu zake washaanza vurugu na rafu kunapoelekea uchaguzi
 
Watz tusipofanya bidii kuwatoa Hawa wakoloni weusi tumekwiishaa nafasi pekee ni October zaidi ya hapo tutamsalia mtume.
 
Mara nyingi vyama vilivyozeeka huwa haviondoki kwa amani madarakani, mpaka vihakikishe vimemwaga damu ya wananchi wake.

Na ni nadra Sana kuja kushika madaraka tena.
Ni kweli ndio maana ukimuona Simba mzee ujue amekwepa mishale mingi.
Hata hivyo ukiangalia umri hawatofautiani sana
(2020-1977=43yrs)-(2020-1992=28yrs)=15yrs (walikuwa pamoja).
 
Unaposema mtu ametukanwa ni muhimu kuweka neno ama maneno yaliyotumika katika hilo tusi la sivyo siyo tusi mbali ni lugha kali!
Matusi ni kama ya yule askari wa Mbeya aliyemwambia Sugu kuwa hana heshima.
 
Back
Top Bottom