Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Heshima Mbele,
Baada ya muda mrefu wa kupaza sauti,takribani miaka mitatu ya kueneza mapinduzi ya kidemkrosia kupitia mijadala ya moto moto,imani yetu ya kujenga uwezo wa watu kuzungumzia mambo mabaya na kukemea mambo yote ya kifisadi.
JF imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu kama Dr. Slaa kuweza kusema List of Shame,Tumeweza kuanika uozo wa RDC ,DOWANS na Buzwagi,siye ndiyo tulirudisha imani ya serikali hasa baada ya bunge kuvunjika.
Ukiangalia unaweza dhani tumefanikiwa kwa kaisai kikubwa na tunaonekana kuchoka ila kimsingi la bado kuna jambo moja ambalo tunahitaji kulifanyia kazi,jambo lenyewe ni kuwaeleza wanachi juu ya ukweli kuhusiana na Siasa ya Tanzania.
Tuwaeleze ni nini wanatakiwa kufanya mapinduzi ili wapate maisha Bora.Mie naamini kama tukiwa na mbinu bora zaidi ya hata zile za watumishiwa Mungu walioanzisha DECI basi tutafanikiwa kwa kiasi kikubwa kuleta mabadiliko katika nchi yetu.Tunatakiwa kupanda Mbegu kwa wanachi hawa ili zizae matunda
Kwa kuanzia tu,ikiwai ni moja za jitihada zangu za kuwakomboa watanzania naomba sasa tuanze mijadala ya kuwajenga wanachi na natoa mapendekezo ya kuandika kitabu na kukisambaza kote huko tanzania ili kuwaelimisha na kuwapa mwamko,maswali machache tu kwa maada hii ya kwanza.
Naomba tuanze kwa kujadili kwa kupitia maswali haya
1.Nini maana ya siasa?
2.Je nchi hii kuna siasa safi?
3.wanasiasa Bora wapo?
4.Je ili uwe mwansiasa na kiongozi lazima utoke chama Tawala?
5.Je ni sifa zipi ambzo chama cha sisa kinatakiwa kiwe nazo?
6.Je unahisi Jambo gani linawafanya wanasiasa vijana kushindwa kuisaida nchi yao.
Baada ya muda mrefu wa kupaza sauti,takribani miaka mitatu ya kueneza mapinduzi ya kidemkrosia kupitia mijadala ya moto moto,imani yetu ya kujenga uwezo wa watu kuzungumzia mambo mabaya na kukemea mambo yote ya kifisadi.
JF imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu kama Dr. Slaa kuweza kusema List of Shame,Tumeweza kuanika uozo wa RDC ,DOWANS na Buzwagi,siye ndiyo tulirudisha imani ya serikali hasa baada ya bunge kuvunjika.
Ukiangalia unaweza dhani tumefanikiwa kwa kaisai kikubwa na tunaonekana kuchoka ila kimsingi la bado kuna jambo moja ambalo tunahitaji kulifanyia kazi,jambo lenyewe ni kuwaeleza wanachi juu ya ukweli kuhusiana na Siasa ya Tanzania.
Tuwaeleze ni nini wanatakiwa kufanya mapinduzi ili wapate maisha Bora.Mie naamini kama tukiwa na mbinu bora zaidi ya hata zile za watumishiwa Mungu walioanzisha DECI basi tutafanikiwa kwa kiasi kikubwa kuleta mabadiliko katika nchi yetu.Tunatakiwa kupanda Mbegu kwa wanachi hawa ili zizae matunda
Kwa kuanzia tu,ikiwai ni moja za jitihada zangu za kuwakomboa watanzania naomba sasa tuanze mijadala ya kuwajenga wanachi na natoa mapendekezo ya kuandika kitabu na kukisambaza kote huko tanzania ili kuwaelimisha na kuwapa mwamko,maswali machache tu kwa maada hii ya kwanza.
Naomba tuanze kwa kujadili kwa kupitia maswali haya
1.Nini maana ya siasa?
2.Je nchi hii kuna siasa safi?
3.wanasiasa Bora wapo?
4.Je ili uwe mwansiasa na kiongozi lazima utoke chama Tawala?
5.Je ni sifa zipi ambzo chama cha sisa kinatakiwa kiwe nazo?
6.Je unahisi Jambo gani linawafanya wanasiasa vijana kushindwa kuisaida nchi yao.