Harakati hazitaki mtu anayeongozwa kwa mihemko

Feb 4, 2024
67
204
HARAKATI HAZITAKI MTU ANAYEONGOZWA KWA MIHEMKO.

1.Mtu ambaye akiambiwa biashara fulani inalipa anaikurupukia.
2.Ambaye akiambiwa alisemwa vibaya muda huo huo anawafuata wahusika.
3.Mtu ambaye akiambiwa kasalitiwa muda huo huo anawasha moto.
4.Mtu ambaye anataka kufanya kila kinachosifiwa sana.

KAMA UNA SIFA HIZO HAPO JUU BASI HUWEZI KUWA MWANAHARAKATI.

Kuwa mwanaharakati uwe na sifa hizi.
1.Usiyekurupuka hovyo.
2.Mchunguzi kabla ya kuongea.
3.Usiyekata tamaa kizembe.
4.Uliyetayari kukoselewa.


Michakato yote haikosi changamoto ni lazima changamoto zije kukupima kuona kweli utaweza kuyamudu mafanikio?

Changamoto zinapokuja kuna mambo mawili ama hiyo safari sio yako au ni yako ila unatakiwa kukomaaa, sasa kabla hujasema hiyo safari sio yako ni lazima ukomae haswa maana ukiwa mtu wa kukwepa changamoto kwa sababu tu ya mihemko yako basi hakuna safari utakayoiweza hapa Duniani.

Na ukiwa mtu wa kukurupukia mambo kwa sababu tu ya mihemko basi utakuwa mtu wa kuanza upya kila siku kwa sababu utakuwa ukifika mbele unagundua kuwa hiyo njia siyo bali ulikurupuka tu

Mwanasayansi Saul kalivubha.
 
HARAKATI HAZITAKI MTU ANAYEONGOZWA KWA MIHEMKO.

1.Mtu ambaye akiambiwa biashara fulani inalipa anaikurupukia.
2.Ambaye akiambiwa alisemwa vibaya muda huo huo anawafuata wahusika.
3.Mtu ambaye akiambiwa kasalitiwa muda huo huo anawasha moto.
4.Mtu ambaye anataka kufanya kila kinachosifiwa sana.

KAMA UNA SIFA HIZO HAPO JUU BASI HUWEZI KUWA MWANAHARAKATI.

Kuwa mwanaharakati uwe na sifa hizi.
1.Usiyekurupuka hovyo.
2.Mchunguzi kabla ya kuongea.
3.Usiyekata tamaa kizembe.
4.Uliyetayari kukoselewa.

Michakato yote haikosi changamoto ni lazima changamoto zije kukupima kuona kweli utaweza kuyamudu mafanikio?

Changamoto zinapokuja kuna mambo mawili ama hiyo safari sio yako au ni yako ila unatakiwa kukomaaa, sasa kabla hujasema hiyo safari sio yako ni lazima ukomae haswa maana ukiwa mtu wa kukwepa changamoto kwa sababu tu ya mihemko yako basi hakuna safari utakayoiweza hapa Duniani.

Na ukiwa mtu wa kufanya mambo kwa kukurupukia kwa sababu tu ya mihemko yako basi utakuwa pia mtu wa kuanza upya kila mara kwani itakuwa ukifika njiani unagundua hiyo njia siyo yako bali uliikurupukia tu

Mwanasayansi Saul kalivubha.
 
HARAKATI HAZITAKI MTU ANAYEONGOZWA KWA MIHEMKO.

1.Mtu ambaye akiambiwa biashara fulani inalipa anaikurupukia.
2.Ambaye akiambiwa alisemwa vibaya muda huo huo anawafuata wahusika.
3.Mtu ambaye akiambiwa kasalitiwa muda huo huo anawasha moto.
4.Mtu ambaye anataka kufanya kila kinachosifiwa sana.


KAMA UNA SIFA HIZO HAPO JUU BASI HUWEZI KUWA MWANAHARAKATI.

Kuwa mwanaharakati uwe na sifa hizi.
1.Usiyekurupuka hovyo.
2.Mchunguzi kabla ya kuongea.
3.Usiyekata tamaa kizembe.
4.Uliyetayari kukoselewa.
Hakika umenena vyema, ila hawatakuelewa...


Cc: Mahondaw
 
HARAKATI HAZITAKI MTU ANAYEONGOZWA KWA MIHEMKO.

1.Mtu ambaye akiambiwa biashara fulani inalipa anaikurupukia.
2.Ambaye akiambiwa alisemwa vibaya muda huo huo anawafuata wahusika.
3.Mtu ambaye akiambiwa kasalitiwa muda huo huo anawasha moto.
4.Mtu ambaye anataka kufanya kila kinachosifiwa sana.

KAMA UNA SIFA HIZO HAPO JUU BASI HUWEZI KUWA MWANAHARAKATI.

Kuwa mwanaharakati uwe na sifa hizi.
1.Usiyekurupuka hovyo.
2.Mchunguzi kabla ya kuongea.
3.Usiyekata tamaa kizembe.
4.Uliyetayari kukoselewa.


Michakato yote haikosi changamoto ni lazima changamoto zije kukupima kuona kweli utaweza kuyamudu mafanikio?

Changamoto zinapokuja kuna mambo mawili ama hiyo safari sio yako au ni yako ila unatakiwa kukomaaa, sasa kabla hujasema hiyo safari sio yako ni lazima ukomae haswa maana ukiwa mtu wa kukwepa changamoto kwa sababu tu ya mihemko yako basi hakuna safari utakayoiweza hapa Duniani.

Mwanasayansi Saul kalivubha
 
Back
Top Bottom