Happy birthday to me

Chakorii

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
18,586
50,683
Leo ni kumbukizi ya kuzaliwa Kwa chakorii..

Karibu tusheherekee pamoja na Gemini.
Kama na wewe unasheherekea birthday yako leo tafadhali mguse Mungu Kwa namna ya kipekee kabisa.Tembelea watoto yatima watu waishio katika mazingira magumu,,kula nao mfurahi.

Mungu akubariki utoapo na upokeapo.

Zawadi zinakaribishwa jaman😉

💃💃
 
Leo ni kumbukizi ya kuzaliwa Kwa chakorii..

Karibu tusheherekee pamoja na Gemini.
Kama na wewe unasheherekea birthday yako leo tafadhali mguse Mungu Kwa namna ya kipekee kabisa.Tembelea watoto yatima watu waishio katika mazingira magumu,,kula nao mfurahi.

Mungu akubariki utoapo na upokeapo.

Zawadi zinakaribishwa jaman

Happy birthday Chakorii
Enjoy!
Nikipata kazi itabidi nikutafute mkuu!
 
Hongera, Leo ni kumbukizi ya siku mwili wako ulizaliwa.
Ni ukumbusho kuwa ulikuwa na mwanzo hivyo haina budi kuwa na mwisho.

Basi yatayarishe mapito yako, tengeneza njia yako,
Fanya mapenzi yake aliyekuleta
Onyesha upendo, kuwa chanzo cha furaha kwa wengine
ili ujio wako hapa duniani uache alama.
 
🤣Kuna tatizo mkuu?
hapana ila huwa na fall sana kwa akina Nasma😬 i need to be careful
Screenshot_20230531_095321_Google.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom