Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,907
Kwema Wakuu!

Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.

Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.

Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.

Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.

Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Hongera kwa kuongeza mwaka katika ile ulivyokua nayo ishi muda mrefu mkuu,
 
Happy birthday 🎂 hongera yapo leo umeacha cheo chako kimoja cha MTIBELI WA TIBELI
 
Kwema Wakuu!

Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.

Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.

Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.

Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.

Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.

Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Long live igwe enjoy the day usisahau kuzagamua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom