Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
Kwema Wakuu!
Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.
Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.
Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.
Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.
Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.
Sabato NJEMA.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ninafuraha kubwa katika siku hii ya leo.
Hii ndio siku ambayo nilizaliwa. Ndimi Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe wa Tabora.
Nawashukuru wote mliokuwa baraka kwangu, lakini pia nawashukuru wale mliogeuka changamoto kwangu,
Mnisamehe wale wote niliowakosea Kwa namna moja ama nyingine.
Mimi kila Siku ninawasamehe wanikoseao, kamwe jua halitozama bila kusamehe walionikwaza. Hivyo sina kinyongo.
Tuishi Kwa upendo, tukifundishana, tukionyana na kukemeana pale tunapokosea. Lakini pia tukisaidiana, iwe ni kimawazo, kiuchumi, kijamii na Kiroho.
Hivyo ndivyo Maisha yetu yatakavyokuwa mazuri na Furaha.
Happy birthday to me, Taikon wa Fasihi, Mnyanyembe.
Sabato NJEMA.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam