Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
dah nilikuwa nimesahau jamani,leo ni birthday ya mama yangu mpendwa
namuombea kwa mungu amjalie kila lililo la kheri katika maisha haya
i wish mama upone uwe kama zamani
nakumbuka kipindi naenda shule ulivokuwa unanitengenezea kuku wa kula njiani ili nisile vitu vibaya njiani.sasa nimekuwa mkubwa i wish nikutengenezee na wewe kuku ila huwezi kula tena swit mamy why you
nakumbuka ulivokuwa unanipeleka vidudu nilipokataa maana wenzangu walikuwa wananitania eti na vimashimo kwenye mashavu i wish nione vyakwako mama.
to be honest kuumwa kwako ni kitu kinanikosesha furaha hapa duniani mama
in your birthday nakuombea kwa mungu upone tu jamani
i love you my mother with all my heart
namuombea kwa mungu amjalie kila lililo la kheri katika maisha haya
i wish mama upone uwe kama zamani
nakumbuka kipindi naenda shule ulivokuwa unanitengenezea kuku wa kula njiani ili nisile vitu vibaya njiani.sasa nimekuwa mkubwa i wish nikutengenezee na wewe kuku ila huwezi kula tena swit mamy why you
nakumbuka ulivokuwa unanipeleka vidudu nilipokataa maana wenzangu walikuwa wananitania eti na vimashimo kwenye mashavu i wish nione vyakwako mama.
to be honest kuumwa kwako ni kitu kinanikosesha furaha hapa duniani mama
in your birthday nakuombea kwa mungu upone tu jamani
i love you my mother with all my heart