afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
..Afro D nisaidie kujibu, huyo @ red kaalikwa?
i'm on it
..Afro D nisaidie kujibu, huyo @ red kaalikwa?
...@Red, Mama yake ashabadilisha Pampers kama 33 tangu azaliwe asubuhi ya leo.You guys AshaDii, AD, Kivumah (Birthday boy mtundu kweli), Sangara, you're killin me with laughter lol!!!
duhhhh
samahani kusema mkuu ..
Kivuma makes me happy kuliko kikwete..
na hapana Kivumah SI narudia tena SI Kikwete..
hawafanani kwa njia yeyote ile ..
Karibu tu party
Kabla ya kendelea na huu mpangilio... VIP kuna ladies?? maana kama ni hivo mie naona nitagoma (Abiria linda mzigo wako in motion...lol)
Kabla ya kendelea na huu mpangilio... VIP kuna ladies?? maana kama ni hivo mie naona nitagoma (Abiria linda mzigo wako in motion...lol)
Waaaoooooooooh, Nice Msg
Nashukuru saaana Kiongozi and kwakweli ALL JAMII FORUMS MEMBERS, I PERSONALLY THANK U.
TUKO PAMOJA WAKUU
...Nashukuru saaana Finest.Happy Birthday Kivumah mimi natoa offer ya wewe kwenda Massage Parlour over the weekend
hahahaha! just a kidding, mtani wangu huyo, sijui mpare?
Thank U, Sugar wa Ukweli.happy birthday kiongozi!
Umeona eeehhh alivyofanya vibaya hakuna hata mwanamke kha???
hahahh lol
safi sasa.. utaweza kuleta Mbege ukumbini leo ??
Thx Mkuu.Happy Bithday
Mmmh we dada ulikuwa wapi?? You are most
hata wagosi tuna utani na wapare, hao wa mbege ni wachaga, mie ntaleta BOHA (pombe ya miwa) na MNAZI,
Mi bday yangu inakuja tarehe 23 mwezi huu wa 10, nitaandaa kamati nikisaidia na Afrodenzi...in advance!!!teheeteheeee