Gwakisa Mwandule
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 521
- 185
Kama yeye jembe ilikuwaje wakamgaragaza kule arumeru na bungeni kafutishwa kauli zaidi ya mara mbili japo spika anambeba lakini kachokwa mpaka na magamba wenzie! Gamba wewe usie jitambua mwigulu ndo kwanza anakipeleka ccm kaburini ukitaka kuamini angalia budget anayochangiaga mwigulu huwa ni ya upinzani leo unamwita jembe?sisi tunamuona mwigulu ni shamba la kulimwa na chadema na kuvuna urais mwaka 2015Mwigulu ni JEMBEEEEE pale mjengoni kila akisimama utasikia CDM wote wanamtizama na kusikitika utadhani kuna msiba, kumbe jamaa haogopi kuwaambia ukweli. Mwigulu ni sawa sawa na CDM wote bungeni