Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,374
- 161,379
EeeehhhHappy birthday babu mchepuko wake wa kudumu dada akee mm sakayo na mume wa sky
Tunakupenda babu Yesu wetu azidi kukutunza
EeeehhhHappy birthday babu mchepuko wake wa kudumu dada akee mm sakayo na mume wa sky
Tunakupenda babu Yesu wetu azidi kukutunza
Ni vipii etiEeeehhh
Kazi yako kuvuruga tuu akiNi vipii eti
Jamani nimevuruga wapi tena kwahiyo leo unamkana sio mchepuko wako wa kudumuKazi yako kuvuruga tuu aki
Kazee wapi hata 29 hakana. We ushawahi ona mzee wa hovyo namna hii!!Hivi aka kashkaji hua nikazee kweli..???
Hungera kwa kuongeza mwaka mwingine mkuu!!
Wenyewe wanajitangazaga haoMchepuko hatangazwagi hadharani
Lazima akatae
Leo siku yake na bi mkubwa!Jamani nimevuruga wapi tena kwahiyo leo unamkana sio mchepuko wako wa kudumu
Bwana eenh ndio nishasema mie mtajuana wenyewe uko na zamu zenuLeo siku yake na bi mkubwa!
Zamu yangu naijua mwenyewe
Ahsante sana mjukuu mtiifuSiku kama ya leo miaka 72 iliyopita alizaliwa mzee kijana,kipenzi chetu,mwanaume pekee aliyewahi kuuteka moyo wa Sky Eclat Asprin teh!
Nami nichukue nafasi hii katika siku ya leo muhimu kukuwish uendelee kuishi kwa amani,mafanikio na afya tele
Mwenyezi Mungu aendelee kukuweka mzee wetu(kama ni kweli una 72) uzidi kuona vijukuu
Happy birthday babu from another parents
I 💕 Asprin
Usijali... kaburi kila mtu ana lake. Karibu mzee kijana.Keki kama nnya
Halafu miaka 72 anatakiwa kufanya ibada muda wote sio kujaza harufu ya ugoro humu jukwaani.
Mungu katupa miaka 70 yeye ana 70+ bado ana log in!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haika sana... Ruva akutaravye sana sana...HBD
Sir...
Mbe...
Dhai....r
Msasha...arrrgh utachagua linalokufaa Asprin
"Ruva nakutaravye mmeku"
Sent using Jamii Forums mobile app