Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 993
- 695
Katika hali ya kushangaza Waziri wa Sheria Mh: Kombani amesema kuwa ili tume ya kukusanya maoni kuhusu mabadiliko ya Katiba iweze kufanya kazi vizuri inatakiwa isiundwe na wata wenye mitazamo tofauti ya kisiasa wala wasiwe na ilani (manifestos) tofauti.
Wanatakiwa wawe na Muono mmoja tu wa mambo, hayo aliyazungumza akiwa katika kongamano la katiba huko Ruaha.
Hoja katika hili, je tukisema tuwaachie watu wa fikra moja kufanya hiyo kazi mwisho wa siku itakuwaje? Hivi ni kweli kuwa watu wenye muono tofauti wa mambo hawawezi kufanya jambo moja likawa kwa masilahi ya watanzania?
Hivi ni kweli ndani ya CCM au CHADEMA au CUF wote wana mawazo sawa na wanauwezo sawa wa kufikiri mambo?
Naomba kuwasilisha.
Wanatakiwa wawe na Muono mmoja tu wa mambo, hayo aliyazungumza akiwa katika kongamano la katiba huko Ruaha.
Hoja katika hili, je tukisema tuwaachie watu wa fikra moja kufanya hiyo kazi mwisho wa siku itakuwaje? Hivi ni kweli kuwa watu wenye muono tofauti wa mambo hawawezi kufanya jambo moja likawa kwa masilahi ya watanzania?
Hivi ni kweli ndani ya CCM au CHADEMA au CUF wote wana mawazo sawa na wanauwezo sawa wa kufikiri mambo?
Naomba kuwasilisha.