BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,441
- 5,294
Tatizo lingekuwa kubwa kama angekuwa ni mtu mweusi hapo ingetokea tatizo lakini kwa sababu ni white person!!!
Kutanuka harufu ya Beberu tuuHawana uwezo wa kumgusa mzungu
Huyo binti wa beberu akiguswa kitanuka
Angemwagiwa tindikali kama ingekuwa mwezi ulee. .....!
Huyo Sheikh aliyeweka mikono nyuma bila shaka alikuwa mdomo wazi hapo.
Unautaka uzima wa milele?!?Wewe mzima kweli?
Unafki wa kiwango cha SGRHapo angekuwa binti mweusi wangemchapa bakora
Hapo ndiyo utagundua sisi waafrika bongo zetu zina nyufaHapo angekuwa binti mweusi wangemchapa bakora
Wazee wa tindikali hawana hamu tena,wako jela wamechoka balaaAngemwagiwa tindikali kama ingekuwa mwezi ulee. .....!
Huyo Sheikh aliyeweka mikono nyuma bila shaka alikuwa mdomo wazi hapo.