Unatoka Tukuyu uanelekea Mbeya, uko katikati ya kiwira na njia panda ya Kitulo, majira ni asubuhi
Umetoka Isyonje Mkuu, upo kwenye mteremko kuelekea Namba One, na hii ni gari ya fyandomo nadhani
Mi nahisi ni njia ya kwenda Tukuyu toka Mbeya mjini....Maeneo ya uporoto mbeya
Tukuyu, Mbeya. Nimemiss sana pande hizo.
Makambako hapo.