Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Ha ha ha !usiilaze hii thread hadi kesho, kama hakuna jibu bora tukupe mji!.
hapo ni barabarani
Almost there!Unatoka Tukuyu uanelekea Mbeya, uko katikati ya kiwira na njia panda ya Kitulo, majira ni asubuhi
Maeneo ya uporoto mbeya
Hapo ni UPOROTO, BAADA tu ya njia panda(kama ukitokea Tukuyu)
Wakuu tuendelee kuwekeana changamoto.