Unafikiri ukiwataja hao, ndiyo nitabadili nilichokisema? I aint any fan of these political parties. I'm a fan of Tanzania.Siyo Magufuli sema LOWASSA, SUMAYE, MASHA, MAGUFULI, KINGUNGE, MAHANGA Wote walikuwemo ACHENI UNAFIKI WA MWENDOKASI. Tena hata ni bora MAGUFULI Ana Legacy TANGIBLE ya kujivunia ( WIZARA YA UJENZI + UVUVI ) Sasa hao wengine wana kitu gani cha kujivunia zaidi ya kuwa MIJIZI, MIPENDA MADARAKA NA KUUZA NCHI
WELL SAIDUnafikiri ukiwataja hao, ndiyo nitabadili nilichokisema? I aint any fan of these political parties. I'm a fan of Tanzania.
Hao wote ni products ya CCM, which is a gang of crooks and thieves. No wonder we have a thief and crook as a president.
Ati ana legacy ya kujivunia! Ya kujivunia my foot! Ujenzi wa barabara zisizo na kiwango, ambazo ripoti ya CAG mwaka wa mwisho wa JK ilionyesha jinsi wizara ya ujenzi ilivyofanya ufisadi kwenye mikataba na makandarasi? Kwenye uvuvi, umesahau hasara aliyoisababishia serikali kwenye sakata la samaki? Umesahau alivyofisadi nyumba za serikali? Alivyofisadi ferry ya DSM?
BTW, si mahakama ya mafisadi ilifunguliwa tena kwa mbwembwe nyingi, kwanini hao akina Lowassa hawapo mahakama na probably jela? Maana wanastahili kuwa huko, pamoja na Magufuli.
copy thatUnafikiri ukiwataja hao, ndiyo nitabadili nilichokisema? I aint any fan of these political parties. I'm a fan of Tanzania.
Hao wote ni products ya CCM, which is a gang of crooks and thieves. No wonder we have a thief and crook as a president.
Ati ana legacy ya kujivunia! Ya kujivunia my foot! Ujenzi wa barabara zisizo na kiwango, ambazo ripoti ya CAG mwaka wa mwisho wa JK ilionyesha jinsi wizara ya ujenzi ilivyofanya ufisadi kwenye mikataba na makandarasi? Kwenye uvuvi, umesahau hasara aliyoisababishia serikali kwenye sakata la samaki? Umesahau alivyofisadi nyumba za serikali? Alivyofisadi ferry ya DSM?
BTW, si mahakama ya mafisadi ilifunguliwa tena kwa mbwembwe nyingi, kwanini hao akina Lowassa hawapo mahakama na probably jela? Maana wanastahili kuwa huko, pamoja na Magufuli.
Hi ni ripoti ya mwaka 2015-2016 we unaishi inchi ganiHayo siyo madudu ya mwaka jana. Tumia akili kdogo
Atakuwa kakutumbua jipu la takoni, kiti hakikaliki. Vumilia Maumivu na ujifunze KULA KWA JASHO. Magu is there to stay. Hatred will have you killed soon. Mpe hi hapo MteiUnafikiri ukiwataja hao, ndiyo nitabadili nilichokisema? I aint any fan of these political parties. I'm a fan of Tanzania.
Hao wote ni products ya CCM, which is a gang of crooks and thieves. No wonder we have a thief and crook as a president.
Ati ana legacy ya kujivunia! Ya kujivunia my foot! Ujenzi wa barabara zisizo na kiwango, ambazo ripoti ya CAG mwaka wa mwisho wa JK ilionyesha jinsi wizara ya ujenzi ilivyofanya ufisadi kwenye mikataba na makandarasi? Kwenye uvuvi, umesahau hasara aliyoisababishia serikali kwenye sakata la samaki? Umesahau alivyofisadi nyumba za serikali? Alivyofisadi ferry ya DSM?
BTW, si mahakama ya mafisadi ilifunguliwa tena kwa mbwembwe nyingi, kwanini hao akina Lowassa hawapo mahakama na probably jela? Maana wanastahili kuwa huko, pamoja na Magufuli.
Hii ni ripoti ya mwaka 2015/2016 acha kuzinguaHayo ni madudu yaliyokuwepo wakati anaingia ambayo ndio anapambana nayo halafu nyie ndio mnampigia kelele.
Hana ubavu wa kunitumbua. Moja, mimi siyo mwajiriwa wa serikali ya CCM. Na pili, siyo mla vumbi vilevile.Atakuwa kakutumbua jipu la takoni, kiti hakikaliki. Vumilia Maumivu na ujifunze KULA KWA JASHO. Magu is there to stay. Hatred will have you killed soon. Mpe hi hapo Mtei
Sawa mangiHana ubavu wa kunitumbua. Moja, mimi siyo mwajiriwa wa serikali ya CCM. Na pili, siyo mla vumbi vilevile.
Kwa akili yako unadhani hayo madudu kasababisha yeye...tafuta ripoti usome...utatamani raisi abaki madarakani miaka mingi ijayo.Sasa madudu yote haya makufuli anatupigia mikelele ya nini?
PumbaHata kama, suala ni kwamba Magufuli amekuwa yumo ndani ya serikali kwa 20+ years. Alishiriki vikao vya baraza la mawaziri na kupitisha sheria (Bungeni) na mikataba (Cabinet) ambayo ndiyo imezalisha hayo yaliyosemwa na CAG.
Magufuli ni sehemu ya hiyo mess.
Kweli sijaisoma. Kwa hio report ni ya mwaka 2000?Kwa akili yako unadhani hayo madudu kasababisha yeye...tafuta ripoti usome...utatamani raisi abaki madarakani miaka mingi ijayo.
Mimi siyo mchaga, mimi ni msukuma pure, siyo kama huyo Magufuli anayejifanya kuwa msukuma.Sawa mangi
Sawa bosi.Pumba
Mkuu ata kama alikuwa kwenye baraza la mawaziri kama alikuwa anapinga na wengi walikubali utajuaje? Na tinaambiwa maamuzi ya baraza la mawaziri ni siri mkuu.Hata kama, suala ni kwamba Magufuli amekuwa yumo ndani ya serikali kwa 20+ years. Alishiriki vikao vya baraza la mawaziri na kupitisha sheria (Bungeni) na mikataba (Cabinet) ambayo ndiyo imezalisha hayo yaliyosemwa na CAG.
Magufuli ni sehemu ya hiyo mess.
Eti tufanye kazi tuachane na udaku wa mitandaoni.Sasa madudu yote haya makufuli anatupigia mikelele ya nini?
Teh teh teh!! Tena wabunge tumewachagua kwenda kutetea wananchi bungeni anaingia mpiga dili mkuu wanashingilia na wamemmiss.Alisema tutamkumbuka,,,ni kweli tutamkumbuka kwa haya madudu.