Kobaba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 492
- 341
Akiwa ktk picha pamoja na wajumbe wenzake wa CUF ktk mkutano uliofanyka jana ktk ukumbi wa Mazsons Hotel Shangani mjini Zbar muda mfupi kabla kuanza kikao kilichomvua uanachama wa cuf yeye na wenzake wa3. HR yupo ktkati alievaa suti na miwani. Ni imani za wengi kuwa mwelekeo na umaarufu wa kisiasa kwa HR umekwisha.Tayar mwenzake aliewahi kuwa kiongozi wa upinzan bungeni Fatma Magimb hasikiki tena ktk medan ya siasa.HR ni ndugu wa karibu na marehemu Dokta Omar Ali Juma aliewahi kuwa makamo wa rais wa URT.