Hata ningekuwa mimi ningefurahi....na katika hili Simba nadhani watakua wamepata funzo. Walishafanya kosa kama hili kwa Patric Phiri.. Leo Simba anahangaika kuitengeneza timu halafu huku tunamtoa kocha aliyetupa karibia kila kitu msimu uliopita.... Bahati mbaya tu kwenye soka huwezi kuhama timu. Ila katika hili nitakua upande wa Simba mpaka akili ziwakae vizuri huyo mwenyekiti na jopo lake zima.sisi kwetu furaha
sijaona kosa lake mpaka sasa sana sana wangemwongeza mkwasa badala ya mwambusi...Kumpoteza Hans ni hasara kubwa kwetu. Azam wakichanga karata fresh wakamchukua, tutajuta!!
kweli kabisa ulichoongea sijaona kwa nn hawamtaki hansHata ningekuwa mimi ningefurahi....na katika hili Simba nadhani watakua wamepata funzo. Walishafanya kosa kama hili kwa Patric Phiri.. Leo Simba anahangaika kuitengeneza timu halafu huku tunamtoa kocha aliyetupa karibia kila kitu msimu uliopita.... Bahati mbaya tu kwenye soka huwezi kuhama timu. Ila katika hili nitakua upande wa Simba mpaka akili ziwakae vizuri huyo mwenyekiti na jopo lake zima.
Sio Kocha tu... benchi mzima la ufundi limeachia ngaziKufuatia taarifa kuwa timu ya yanga imemsajili kocha mpya kutoka zambia kocha mholanzi anayekinoa kikosi hicho cha wana jangwani amejiuzuru baada ya kupata taarifa hiyo
more to follow
my take;mpira bongo tutasubiri sana aiseee
Aliomba kujiuzulu mda mrefu kwa kuwa umri wake umeenda na mara kwa mara ameliongelea hilo kwa uobgozi wa club,ndipo club imemtafuta Mzambia na Plujin atabaki katika bench la ufundi kama mtaalamu na oia si unajua tena Van ni mwanachama wa Young Africa?Hata ningekuwa mimi ningefurahi....na katika hili Simba nadhani watakua wamepata funzo. Walishafanya kosa kama hili kwa Patric Phiri.. Leo Simba anahangaika kuitengeneza timu halafu huku tunamtoa kocha aliyetupa karibia kila kitu msimu uliopita.... Bahati mbaya tu kwenye soka huwezi kuhama timu. Ila katika hili nitakua upande wa Simba mpaka akili ziwakae vizuri huyo mwenyekiti na jopo lake zima.
Poleni sana Mkuu.. Mimi mwenyewe namuheshimu sana.. Hili ni pigo kubwa kwenuKumpoteza Hans ni hasara kubwa kwetu. Azam wakichanga karata fresh wakamchukua, tutajuta!!
Mkuu Mpira wa yanga ndo bado sana.. Sisi simba tunazidi kuchanja mbugaKufuatia taarifa kuwa timu ya yanga imemsajili kocha mpya kutoka zambia kocha mholanzi anayekinoa kikosi hicho cha wana jangwani amejiuzuru baada ya kupata taarifa hiyo
more to follow
my take;mpira bongo tutasubiri sana aiseee
Ni wakati wa mnyama mkali kuendelea kufanya vitu vyake huku Kijani FC wakimtafuta mchawi nani..!