chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,130
- 22,540
Dunia inamambo. Ebu fanya uchunguzi apo nyumbani umri wa baba yako na mama yako kama mama kamzidi baba huna tatizo lolote endelea tu.
Wanapenda vya mteremko! Vitawatokea puani
huna lolote unapenda dezo tu...ndo nyie ukishamaliza shughuli unaomba ulipiwe na luku mscheeew!
Unaweza ukawa na vijisente vyako ukaishia kubeba machangudoa tu, kuwa na vijipesa siyo kuwa ndiyo unaweza kutongoza, we huoni matajiri wanatogozewa mademu?kuhusu suala LA hela ondoa shaka mkuu Sema kitu kingine
Vijana hawana pesa ya kuhonga wanapiga puli hadi wanachanganyikiwa na kuanza kuwazia majimama
Inamaana wewe msigaji? Wasichana wa umri wako?Habari wanna MMU
Naombeni msaada wenu wakuu kuhusu hii hali inayonisumbua.
Wasichana wa umri Wangu sina hamu nao kabisa.
Ukikua utaachaUtoto huu!!.
Chenjichenji,Huyo dogo akikuwa ataacha