Au silaha zote tunanunua?
Naomba habari kwa mnaojua!
Zamani sana tulikuwa na kiwanda cha kutengeneza silaha ndogo ndogo za kijesi pale Morogoro kikijulikana kama Mzinga Corporation; mara ya mwisho nilikisikia mwaka 1989. Sijui kama bado kipo hadi leo.
Au silaha zote tunanunua?
Naomba habari kwa mnaojua!
Au silaha zote tunanunua?
Naomba habari kwa mnaojua!
Au silaha zote tunanunua?
Naomba habari kwa mnaojua!
Msidharau nchi yetu! Mmeshafika nyumbu kibaha kama hamjui mambo mkae kimya msibwabwaje