Hamas: Viongozi wetu wapo majumbani, vitani sio hospitali

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
2,646
3,936

Hamas: kumekucha Viongozi wetu wapo majumbani mwao, na si mahospitalini.​

Wanapanga mikakati ya kuwamaliza Israel.

Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema madai ya utawala wa Kizayuni kwamba viongozi wa harakati hiyo wapo katika njia za chini ya ardhi ya hospitali ya Al -Shifa katika Ukanda wa Ghaza ni ya upotoshaji.

Msemaji wa jeshi la utawala ghasibu wa Kizayuni amedai kuwa viongozi wa Hamas wapo katika njia za chini ya chini ya ardhi ya hospitali ya Al Shifa huko Ghaza.

Msemaji wa Hamas amejibu madai hayo ya utawala wa Kizayuni kwamba viongozi wa Hamas wapo katika njia za chini ya ardhi katika hospitali huko Ghaza kwa kusisitiza kuwa: Adui Mzayuni kwa kutoa madai haya anajaribu kuinua ari ya jeshi lake kwa kutoa simulizi hizo za uwongo.

Msemaji wa Hamas ameongeza kusema kuwa: Madai haya ni ya upotoshaji na ya uwongo. Viongozi wote wa Hamas wapo maumbani mwao na si mahospitalini. Msemaji wa Hamas amebainisha kuwa: Utawala ghasibu wa Kizayuni unawashambulia kwa mabomu watoto na wanawake, na muqawama unaendelea kuongoza vita kwa nguvu zote.

Afisa huyo wa Palestina ameongeza kuwa: Jeshi la Kizayuni linashambulia miundombinu ya Ukanda wa Ghaza khususan nyumba na hospitali.

Inaonekana kuwa utawala wa Kizayuni kwa kutoa madai haya yasiyo na msingi unataka kukariri jinai ya al-Maamadani katika hospitali ya Al-Shifa.

Tarehe 17 Oktoba Wapalestina zaidi ya 500 waliuawa shahidi katika shambulio la bomu la utawala wa Kizayuni katika hospitali ya Al-Maamadani huko Ghaza; ambapo kwa mujibu wa baadhi ya vyanzo vya habari, idadi ya watu waliouawa inafika 1,000.
1698473283493.png
 

Hamas: kumekucha Viongozi wetu wapo majumbani mwao, na si mahospitalini.​

Wanapanga mikakati ya kuwamaliza Israel
Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema madai ya utawala wa Kizayuni kwamba viongozi wa harakati hiyo wapo katika njia za chini ya ardhi ya hospitali ya Al -Shifa katika Ukanda wa Ghaza ni ya upotoshaji.

Msemaji wa jeshi la utawala ghasibu wa Kizayuni amedai kuwa viongozi wa Hamas wapo katika njia za chini ya chini ya ardhi ya hospitali ya Al Shifa huko Ghaza.

Msemaji wa Hamas amejibu madai hayo ya utawala wa Kizayuni kwamba viongozi wa Hamas wapo katika njia za chini ya ardhi katika hospitali huko Ghaza kwa kusisitiza kuwa: Adui Mzayuni kwa kutoa madai haya anajaribu kuinua ari ya jeshi lake kwa kutoa simulizi hizo za uwongo.
Msemaji wa Hamas ameongeza kusema kuwa: Madai haya ni ya upotoshaji na ya uwongo. Viongozi wote wa Hamas wapo maumbani mwao na si mahospitalini. Msemaji wa Hamas amebainisha kuwa: Utawala ghasibu wa Kizayuni unawashambulia kwa mabomu watoto na wanawake, na muqawama unaendelea kuongoza vita kwa nguvu zote. Afisa huyo wa Palestina ameongeza kuwa: Jeshi la Kizayuni linashambulia miundombinu ya Ukanda wa Ghaza khususan nyumba na hospitali.

Inaonekana kuwa utawala wa Kizayuni kwa kutoa madai haya yasiyo na msingi unataka kukariri jinai ya al-Maamadani katika hospitali ya Al-Shifa.

Tarehe 17 Oktoba Wapalestina zaidi ya 500 waliuawa shahidi katika shambulio la bomu la utawala wa Kizayuni katika hospitali ya Al-Maamadani huko Ghaza; ambapo kwa mujibu wa baadhi ya vyanzo vya habari, idadi ya watu waliouawa inafika 1,000.
View attachment 2795418
wape mwezi mmoja tuone kama wataendelea kutoa matamko. sasaivi gaza hakuna umeme, hakuna internet hakuna simu kipigo kinaenda kimyakimya, israel akiumia hatutajua, hamas wakiumia hatutajua, na wato hayo matamko yao ya vitisho hawatayatoa tena kwasababu simu zao zitazima charge muda si mrefu.chakula kitaisha, mafuta ya magari yataisha, silaha zitaisha na watakamatwa kama panya.
 
Sasa israel ikisema wako mahospitalini si ni kama anawaambia wahame ili waue wagonjwa na wasindikizaji wao?

Labda walipue kwanza ndio waseme walikuwa humo. Maana ukisema wanahamia sehemu nyingine maana wanajua umejua na utalipua hapo mahala.
 
wape mwezi mmoja tuone kama wataendelea kutoa matamko. sasaivi gaza hakuna umeme, hakuna internet hakuna simu kipigo kinaenda kimyakimya, israel akiumia hatutajua, hamas wakiumia hatutajua, na wato hayo matamko yao ya vitisho hawatayatoa tena kwasababu simu zao zitazima charge muda si mrefu.chakula kitaisha, mafuta ya magari yataisha, silaha zitaisha na watakamatwa kama panya.
Kwa hiyo kazima Internet ili tusione jinsi anavyo pata kipondo hata hivyo hilo ana jisumbua tu habari tutazipata.
 
Kwa hiyo kazima Internet ili tusione jinsi anavyo pata kipondo hata hivyo hilo ana jisumbua tu habari tutazipata.
ndio, hiyo ni moja ya tekiniki za kivita. tusione anapopigwa, na tusione anapopiga. ila ana uhakika anaenda kushinda, we subiri tu atatuletea matokeo umeme na internet vikirudishwa.
 
wape mwezi mmoja tuone kama wataendelea kutoa matamko. sasaivi gaza hakuna umeme, hakuna internet hakuna simu kipigo kinaenda kimyakimya, israel akiumia hatutajua, hamas wakiumia hatutajua, na wato hayo matamko yao ya vitisho hawatayatoa tena kwasababu simu zao zitazima charge muda si mrefu.chakula kitaisha, mafuta ya magari yataisha, silaha zitaisha na watakamatwa kama panya.
Una ubongo wa mende. Unadhani hao wanajeshi wa HAMAS ni kama wewe mkulima wa jembe la mkono hujui chochote kuhusu vita.

Eti simu zitazima chaji
 
Una ubongo wa mende. Unadhani hao wanajeshi wa HAMAS ni kama wewe mkulima wa jembe la mkono hujui chochote kuhusu vita.

Eti simu zitazima chaji
nimesema wape mwezi mmoja kwasababu nimejua ubongo wako ni sawa tu na wa kitimoto. just give them one month utakuja hapa.
 
Una ubongo wa mende. Unadhani hao wanajeshi wa HAMAS ni kama wewe mkulima wa jembe la mkono hujui chochote kuhusu vita.

Eti simu zitazima chaji


simu haziwezi zima charge si wameteka mahosptalini na sehemu nyingine Wakaiba mafuta lita 500,000 kuwasaidia kwenye oxygen na nishat ya umeme kwenye mashimo walipojificha kama nyoka.

magaidi hayanaga huruma kwao hosptal hakuna umuhimu mahandaki yao ndo yana umuhimu.
 
simu haziwezi zima charge si wameteka mahosptalini na sehemu nyingine Wakaiba mafuta lita 500,000 kuwasaidia kwenye oxygen na nishat ya umeme kwenye mashimo walipojificha kama nyoka.

magaidi hayanaga huruma kwao hosptal hakuna umuhimu mahandaki yao ndo yana umuhimu.
huko kwenye mafuta na majenereta ndiko mabomu yanakodondoka. tuamini basi kwamba watakuwa salama. bomu likidondoshwa karibu na petrol au motor zenye umeme nadhan unajua madhara yake. jana usiku wameingia ground inversion, tusubiri siku mbili tatu tuone matokeo. ofcourse leo hawatapiga sana kwasababu ni sabato wengi wameenda kusali na hata kule vitani wanasali ila kesho na kuendelea, tutegemee makubwa. jana tu usiku al jazeera wanasema kichapo kilikuwa kibaya kuliko vyoote vilivyotokea katika mzozo huu, sasa kama majuzi na siku zengine walikuwa wamepigwa vile, icho cha jana hadi kiwe kibaya kuliko vyote kitakuwa cha aina gani?
 
Kwa hiyo kazima Internet ili tusione jinsi anavyo pata kipondo hata hivyo hilo ana jisumbua tu habari tutazipata.
Hivi na wewe hujiongezi tu . Yaani Israel ndo anapata kipondo wakati Dunia nzima wanalaani maangamizi anayoyafanya Israel pale Gaza? 😂😂😂😂
 
ndio, hiyo ni moja ya tekiniki za kivita. tusione anapopigwa, na tusione anapopiga. ila ana uhakika anaenda kushinda, we subiri tu atatuletea matokeo umeme na internet vikirudishwa.
Tukiwaambia kuwa hilo jeshi lenu ni kukundi cha wahuni wenye silaha za kusasa mna toa povu.

Hata hivyo katika dunia ya sasa huwezi ficha kila kitu tutajua tu kinacho endelea.
 
Hivi na wewe hujiongezi tu . Yaani Israel ndo anapata kipondo wakati Dunia nzima wanalaani maangamizi anayoyafanya Israel pale Gaza?
Anatoa kipondo kwa watoto na wanawake na sio kwa wanaume wenzao wa Hamas.

Waulize jana walipo ingia gaza nn walicho kutana nacho.
 
wape mwezi mmoja tuone kama wataendelea kutoa matamko. sasaivi gaza hakuna umeme, hakuna internet hakuna simu kipigo kinaenda kimyakimya, israel akiumia hatutajua, hamas wakiumia hatutajua, na wato hayo matamko yao ya vitisho hawatayatoa tena kwasababu simu zao zitazima charge muda si mrefu.chakula kitaisha, mafuta ya magari yataisha, silaha zitaisha na watakamatwa kama panya.
Katekwa huyo aibu tu. Juzi tu alikuwa anatamba mbele za wanajeshi wake 😄
.
 

Attachments

  • 1698479838736.png
    1698479838736.png
    195.4 KB · Views: 3
Haniyeh Leader of Hamas:

We have received information indicating the success of the resistance forces in confronting the ground attacks of the Israeli regime on all fronts.
 
Waaasi wa congo tu maporini njaa kali wana solar matata kwa kuchaji simu na radio call ndio washindee kuwa nazo hamas kweli
Una ubongo wa mende. Unadhani hao wanajeshi wa HAMAS ni kama wewe mkulima wa jembe la mkono hujui chochote kuhusu vita.

Eti simu zitazima chaji
 
Hawezi kuwauliza IDF, wewe sema walikutana na nini baada ya kuingia Gaza.
Wanajeshi wengi waliuawa na wengine kukimbia kurudi Israel na ndio maana wamezima mtandao ili picha za wanajeshi wake walio kufa zisisambae kwenye mitandao ya kijamii.
 
Back
Top Bottom